Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Cc: Mtimti na jina la shemejio uliuliza, anaitwa MarianaNyumba ni ya demu wa Ali Kiba hati ya nyumba inaonyesha jina la Mariana nilisema hapa Ali Kiba anapenda umwinyi kujituma hataki kabisa demu sio Kampa nyumba peke yake alishawahi kumfanyia mpaka mama yake Kiba birthday party mbaya bingwa hakutoa hata mia demu pia katoa pesa za murano na iphone juu tatizo Kiba hajui kula na kipofu jokate kamuingiza choo cha kike mbaya zaidi jokate mbahili kinoma anapenda kuhongwa kinoma kazi kwake kiba
Last edited by a moderator: