Mtimti
JF-Expert Member
- Feb 23, 2008
- 942
- 647
Huu ni uongo tena wa mchana kabisa. ....kwanza hii nyumba sio ya mdada wa Singapore, nyumba ni ya Frank Gonga(ye anaishi Uingereza), na yeye ndio alimpangisha kiba......mkataba umeisha na kiba anataka kuhama na hakuna kitu kinachoitwa kutimuana sababu Frank na kiba ni marafiki wakubwa sana. ......