Ali Kiba awavunja mbavu Clouds Media kwa Kipensi cha ajabu alichovaa

unadhani alichekwa bure na chakishoga kabisaaa icho tena izo rangi ndo mashoga wanazipendaga
 
Jamii yetu inapaswa kujifunza kuacha watu waishi maisha wayatakayo ili mradi hawavunji sheria tulizoziweka.

Tusijidanganye kwamba tuna utamaduni wetu nk mambo yanabadilika kila kukicha,na mtu hafungwi na tamaduni sehemu yoyote Ile.
 
Hata huu ni ushoga
 
watanzania tuna kazi kwakweli..hapo angevaa drake msingeongea haya maneno ya ajabu...huyo ni star si level yako unaehate...star anavaa kwakuwa anataka kumake attention kwa watu....wabongo inabidi tubadili mindset zetu kwakweli
Akivaa drake ni sawa coz sio utamaduni wetu ni wa kwao

kuna vitu vya kuiga toka nje Ila sio kila kitu kinapaswa kuigwa

Heavy Weight
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…