Ali Kiba Azidiwa na Zuchu

πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Zuchu ana jeshi nyuma yake

Hujiulizi account ya instagram ya zuchu imefunguliwa juzi tu haina hata mwaka.. ila zuchu ana followers wengi kuliko maua sama ama ruby mwenye miaka zaidi ya 10 kwenye game
Aah halo kwenye miaka zaidi ya kumi umetudanganya kwa kweli
 
Kukimbia shule ndo matokeo haya ya kuaibika mpk mitandaoni, mbaka ndo kiswahili cha vichochoro gani?
 
Ukimaliza tuoneshe bank account yako ina shilingi ngapi ili tujue tunamsikitia vipi Alikiba.
Nioneshe wewe akaunti yako ina sh ngapi ili nione kama kuna umuhimu wa kujibu hoja yako ya kipuuzi.
 
Kukimbia shule ndo matokeo haya ya kuaibika mpk mitandaoni, mbaka ndo kiswahili cha vichochoro gani?
Wewe jiongopee tu. Utakuta mpuuzi kama wewe una kidegree chako cha kipumbavu unadhani eti ndo umepiga shule.
 
Zuchu plus Domo au kipofu..hv Zuchu ana washabiki wake tofauti na wa Domo?
 
Mkuu inaonekana Kiswahili kwako ni tatizo.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…