Ali Kiba Azidiwa na Zuchu

Ali Kiba Azidiwa na Zuchu

Bongofleva nayosikiliza ni Roma mkatoliki na Ney tu. Wengine takataka
 
Zuchu plus Domo au kipofu..hv Zuchu ana washabiki wake tofauti na wa Domo?
Ndio ushangae hahaha kwa kweli inahitaji kujitoa ufahamu uwe shabiki wa WCB,

Alikiba anawaumiza kichwa sijui kwanini, katoa dis track sauti ya upole huku anatabasamu watu wanaumia matumbo yanawavuruga hapo hawajatajwa.
 
Imefikia mahala Ali Kiba amezidiwa mbaka na Zuchu? Bwana huyo aliachia video yake wiki moja iliyopita na Zuchu akaachia ya kwake siku nne baadae. Lakini mbaka sasa ngoma ya Zuchu 'Litawachoma' ina views milioni 2.1 wakati ya huyo bwana ina 1.9. Anakwama wapi? Yani mbaka kasichana kalichoanza muziki jana tu kanamfunika?
Music is like sports. There comes a time when those who excelled take the back door. You cannot outshine generations. Zuchu is new generation I cannot imagine you comparing her to Ali Kiba. She is young and talented. Usilinganishe chungwa na ndimu, vina utamu tofauti na ndiyo huo utafauti vinapendwa kwa rldha zao.
 
Dahh..

Hiviii... On serious note.. Kiba anafeli wapi!??

Tukio hili mimi sijalipenda kabisa...

Je! Tuamini kwamba King Kiba ana fake Fans...!??

Im disturrrbed
Kiba hapendi misifa huwa anawadelete viewers wake
 
So hao wanafeli wapi!?

We mjinga ona aibu

Diamond ana nguvu na ndio kabeba hiyo timu ya wcb, sio zuchu hauoni aibu???

Ndio maana uliambiwa nenda shule hauelewi????


Zuchu angekuwa hayuko wcb asingekuwa alivyo

Na bado nyimbo za zuch zinafanyiwa adverts

Harmonize aliishafikisha viewers ya mamilioni alipokuwa wcb, leo ana wachache maana ndio anaanza kujenga fanbase yake

Ali kiba ana sub kama laki tatu tu, kuwa na viwers 1.9m sio mchezo

Diamond anao 3m ambao wote ndio wa zuchu kuwa kama ana 2.1m bado wachache sana
 
We mjinga ona aibu

Diamond ana nguvu na ndio kabeba hiyo timu ya wcb, sio zuchu hauoni aibu???

Ndio maana uliambiwa nenda shule hauelewi????


Zuchu angekuwa hayuko wcb asingekuwa alivyo

Na bado nyimbo za zuch zinafanyiwa adverts

Harmonize aliishafikisha viewers ya mamilioni alipokuwa wcb, leo ana wachache maana ndio anaanza kujenga fanbase yake

Ali kiba ana sub kama laki tatu tu, kuwa na viwers 1.9m sio mchezo

Diamond anao 3m ambao wote ndio wa zuchu kuwa kama ana 2.1m bado wachache sana
Waberoya Kwani inauuma Nini akibebwa na mondi mbona Rayvanny na pia Harmonize alibebwa mondi Cha msingi Ni bebwa ubebeke mbona Alikiba ana wasanii wake lakini mpaka Leo soko aliwaelewi?
 
Waberoya Kwani inauuma Nini akibebwa na mondi mbona Rayvanny na pia Harmonize alibebwa mondi Cha msingi Ni bebwa ubebeke mbona Alikiba ana wasanii wake lakini mpaka Leo soko aliwaelewi?

Nadhan umeona reaction ya watu wengine pia

Mkikaa vikao vyenu mjue mnaandika post kwa watu wazima


Tanzania ina wanamuziki 1000plus

Hawa wote soko haliwaelewi??

Yaani viwers hata laki sita tu bongea la hit song, mjue hivyo

Kingine naona ushakuwa mtoto wa kuwekea maneno akilini na mdomoni mwa watu

Hakuna mahali watu wameumia, ila kilichoelezwa ni ukweli....zuchu hawezi kuwa na fanbaese kubwa yake yeye ambayo kaitafuta yeye. Hauwezi ukasema nchi hii mpaka vijijini zuchu ni mkubwa kuliko aslay...😂😂 Kuwa ba fanbase ni zaidi ya utube viewers
 
Nadhan umeona reaction ya watu wengine pia

Mkikaa vikao vyenu mjue mnaandika post kwa watu wazima


Tanzania ina wanamuziki 1000plus

Hawa wote soko haliwaelewi??

Yaani viwers hata laki sita tu bongea la hit song, mjue hivyo

Kingine naona ushakuwa mtoto wa kuwekea maneno akilini na mdomoni mwa watu

Hakuna mahali watu wameumia, ila kilichoelezwa ni ukweli....zuchu hawezi kuwa na fanbaese kubwa yake yeye ambayo kaitafuta yeye. Hauwezi ukasema nchi hii mpaka vijijini zuchu ni mkubwa kuliko aslay...😂😂 Kuwa ba fanbase ni zaidi ya utube viewers
Mzee baba hata Alikiba akajiunga na WCB fan base Yake itakuwa Mara dufu lazima ujue Hakuna msanii yoyote hapa bongo ambaye ana fan base wengi zaidi ya WCB so sio ajabu kwa Zuchu kushabikiwa na fans wa WCB hata harmonize si pia alibebwa na WCB Cha msingi hapo Ni msanii kubebeka tu na kweli zuchu ananebebeka matunda yanaonekana
 
Imefikia mahala Ali Kiba amezidiwa mbaka na Zuchu? Bwana huyo aliachia video yake wiki moja iliyopita na Zuchu akaachia ya kwake siku nne baadae. Lakini mbaka sasa ngoma ya Zuchu 'Litawachoma' ina views milioni 2.1 wakati ya huyo bwana ina 1.9. Anakwama wapi? Yani mbaka kasichana kalichoanza muziki jana tu kanamfunika?
Mtoe YouTube ya marobot muweke sokoni na Ali uone kama hata jamii haito kusema vibaya kwa kutaka kumpa Zuchu mzigo asio uweza
 
Imefikia mahala Ali Kiba amezidiwa mbaka na Zuchu? Bwana huyo aliachia video yake wiki moja iliyopita na Zuchu akaachia ya kwake siku nne baadae. Lakini mbaka sasa ngoma ya Zuchu 'Litawachoma' ina views milioni 2.1 wakati ya huyo bwana ina 1.9. Anakwama wapi? Yani mbaka kasichana kalichoanza muziki jana tu kanamfunika?
Unakaa iringa sehemu gani
 
Back
Top Bottom