Hana tamaa ya pesa, King ana kipaji kutoka kwa MunguHii inaonesha jinsi gani hiyo label inajiendesha kiuzamani label gani haina mkataba
Hana tamaa pesa kivip? Unajua maana ya mkataba kwanza?Hana tamaa ya pesa, King ana kipaji kutoka kwa Mungu
Mnafawafunga watoto wa watu kwa mikataba dhulumati mpaka wauze nyumba zao ili wajitoe. Ninafahamu maana ya contractHana tamaa pesa kivip? Unajua maana ya mkataba kwanza?
King's music sio label ile kutokana na maelezo yake na inaonesha jamaa alikurupuka kuanzisha king's musicAlikiba yuko sahii nashangaa watu wanaowaponda awo madogo eti watapotea kwenye game. Utafikiri wao ndo babutale...mzee wa fitina.
Labda wewe uwezo wako wa elimu ni mdogo au hujawahi kufanya kazi kwenye makampuni, wazungu wanasema " Contract is agreement by the parties enforcement by law" Mkataba hausisishi upande mmoja Bali unahuusisha pande mbili zilizokubaliana sasa hapo udhurumaji unatoka wapi ni rahisi kuibiwa ikiwa huna mkataba ila sio ukiwa na mkataba.Mnafawafunga watoto wa watu kwa mikataba dhulumati mpaka wauze nyumba zao ili wajitoe.
Nimesoma mpaka darasa la pili B. Asante kwa kunielimisha shostLabda wewe uwezo wako wa elimu ni mdogo au hujawahi kufanya kazi kwenye makampuni, wazungu wanasema " Contract is agreement by the parties enforcement by law" Mkataba hausisishi upande mmoja Bali unahuusisha pande mbili zilizokubaliana sasa hapo udhurumaji unatoka wapi ni rahisi kuibiwa ikiwa huna mkataba ila sio ukiwa na mkataba.
Unaweza kuiokota barabarani?Kiba bhana, eti amewekeza pesa. Pesa gani buku nne?
Anapenda kuwa pale alipo. Kuna siku Kina alishakuomba pesa ya vocha?madogo wameona hakuna vision wakasepa, kama alikua anawasaidia kiroho safi kwa ukubwa wake kiba wangekua mbali mno