Unaweza kuiokota barabarani?
Kama hana tamaa ya pesa awe anapiga show bureHana tamaa ya pesa, King ana kipaji kutoka kwa Mungu
Tamaa anayo ila hapendi kujionyesha tuHana tamaa ya pesa, King ana kipaji kutoka kwa Mungu
ππ
Kwin dalini amekuzwaje kisanaa na ndugu yake Diamond, au unaropoka tumadogo wameona hakuna vision wakasepa, kama alikua anawasaidia kiroho safi kwa ukubwa wake kiba wangekua mbali mno, kama kashindwa kumkuza kisanaa ndugu yake abdu kiba unategemea nini?? leo hii zuchu ana wiki na amemzidi subscriber abdu kiba ambae ana miaka rundo kwa game hii ni aibu kwa kiba+mawingu+e media+fans viswaswadu wao.
Hao walikuwa wanapewa asilimia ngapi,manake wewe unajua mpaka asilimia wanazopewa wasanii wa WCB.Kwin dalini amekuzwaje kisanaa na ndugu yake Diamond, au unaropoka tu
King's music sio label ile kutokana na maelezo yake na inaonesha jamaa alikurupuka kuanzisha king's music
Litakuwa ni jina Tu , ofsi mnakutana tyme ya lunch Kwa kiba , ndo mana madogo wamemua kuamshaNinawasiwasi hii Kings Music wala haitambuliki BASATA...
Mzee baba unaonesha unanipenda sanaHuu uzi kama innocent dependent hajafika hapa sio uzi tena huu
Okay
Tatizo Alikiba hajazikamia PESA Kama Mwenzie diamond, Yuko Simple Simple kwenye kila kitu. ila sio diamond Dogo anakamia hatari [emoji1][emoji1][emoji1]
madogo wameona hakuna vision wakasepa, kama alikua anawasaidia kiroho safi kwa ukubwa wake kiba wangekua mbali mno, kama kashindwa kumkuza kisanaa ndugu yake abdu kiba unategemea nini?? leo hii zuchu ana wiki na amemzidi subscriber abdu kiba ambae ana miaka rundo kwa game hii ni aibu kwa kiba+mawingu+e media+fans viswaswadu wao.
Una uhakika hana uhitaji wa pesa?!!Hana tamaa ya pesa, King ana kipaji kutoka kwa Mungu
HobbyUna uhakika hana uhitaji wa pesa?!!
Sasa kwanini anaimba na kugharamikia muziki wake?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wananchi ndiyo tunamlazimisha achukue pesa yetu yeye huwa hapendi.
πππππ yeye hapendi show off.Ni wananchi ndiyo tunamlazimisha achukue pesa yetu yeye huwa hapendi.