Ali kiba azungumzia suala la Cheed na Killy kujitoa Kings Music

Kwin dalini amekuzwaje kisanaa na ndugu yake Diamond, au unaropoka tu
 
Kwin dalini amekuzwaje kisanaa na ndugu yake Diamond, au unaropoka tu
Hao walikuwa wanapewa asilimia ngapi,manake wewe unajua mpaka asilimia wanazopewa wasanii wa WCB.

Au ilikuwa kama ile style ya wabeba mchanga,mnabeba mchanga,mkishamaliza mnapima badaye mnapewa hela yenu,baada ya hapo pasu pasu.
 

Mkuu naomba mfano mdogo tu

Kwa class na standard ya wanamuziki wa Tanzania wote

Abdu kiba unataka afike wapi? How?

Ebu elezea kwa experince yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…