kelvin complex
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 607
- 584
Well said bruhMkuu kwahyo wewe umekaa tuu unamfatilia alikiba atasema nn kwnye msiba wa godzila je kama hana bando au hayuko online muda huu??? Je umefika eneo la msiba umemkosa na akat msiba umetokea leo usiku so subiri mpka waje wazike na wewe uhudhurie mazishi ndo uje ulete huo uzi otherwise usifatilie mambo ya wanaume wenzio mkuu
Mtoa mada hamnazo.. Unaweza kwenda msibani na usipost!! Sasa watu wanajudge mambo kwa post za fb na insta.. Akili ya ajabu kabisa!!
Mbona wewe umejitenga na sisi wanaume wenzako na kuchagua kuwa shosti na mpenda umbeya lakini bado hatujakutengaHuyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.
Sasa wasanii wenzake walimtenga ili wampe funzo ,hawakujishughulisha na chochote wala kumpa pole lakini jamaa bado funzo halijamuingia tu.
Wasanii wengi sana kwa namna moja au nyingine wameonesha kwa kiasi kikubwa kuguswa na msiba wa Godzilla lakini Ali Kiba amejifanya kama hajui kinachoendelea.
Kwa anayoyafanya sitashangaa siku akifa halafu wasanii wenzake wakagoma kumzika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufanya ngoma sio Ishu mzee.. Ishu jamaa anajikutaga kavu sanaa kwenye misiba ya wengine kutokea ni mara chache...huenda we ndio ukawa hujui kinachoendelea ,vitu vingine sio mpaka mtu aposti ,kiba kuna ngoma ya pa1 alifanyaga na zillah inaitwa milele so sidhani kama msiba huu utakua haujamgusa kwa namna moja au nyingine..
Ukumuona leaders msiba wa Masogange !!Kufanya ngoma sio Ishu mzee.. Ishu jamaa anajikutaga kavu sanaa kwenye misiba ya wengine kutokea ni mara chache...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wambea huwa hawayajui hayo, itakuwa kashrink piriton ina nafuu.ndugu yangu siku nyingine jitaidi kuwa mvumilivu yasije yakakukuta ya steve nyerere Mmeambiwa mjifunze kuwa na akiba ya maneno. Muombe Mungu akupe busara na hekima