luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 846
- 1,394
Hahaha aisee!! Sijui umefikiria nini mkuuMbona wewe umejitenga na sisi wanaume wenzako na kuchagua kuwa shosti na mpenda umbeya lakini bado hatujakutenga
Shame on youNdio maana kafulia, Jamaa anajifanya wa maana sana kumbe taka tu
Yaani kuandika RIP kwako unaona ndo kuguswa na msiba
Suala zuri sana umemuuliza.Ni maisha aliyoamua kuishi. Baba yake si alizikwa?
Tena siku hyo hyo alofarikiNi maisha aliyoamua kuishi. Baba yake si alizikwa?
Kwanini mtoa post apate like moja, wewe ume comment tu likes 19+Ni maisha aliyoamua kuishi. Baba yake si alizikwa?
Hivi Tundi Lissu aliaemaje juu ya hili?Huyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.
Sasa wasanii wenzake walimtenga ili wampe funzo ,hawakujishughulisha na chochote wala kumpa pole lakini jamaa bado funzo halijamuingia tu.
Wasanii wengi sana kwa namna moja au nyingine wameonesha kwa kiasi kikubwa kuguswa na msiba wa Godzilla lakini Ali Kiba amejifanya kama hajui kinachoendelea.
Kwa anayoyafanya sitashangaa siku akifa halafu wasanii wenzake wakagoma kumzika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wakigoma kumzika yeye inamuhusu nini?Yaani unaweka bifu na marehemu ili iweje? Acheni unafiki wa kuogopa vitu vya kufikirikaHuyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.
Sasa wasanii wenzake walimtenga ili wampe funzo ,hawakujishughulisha na chochote wala kumpa pole lakini jamaa bado funzo halijamuingia tu.
Wasanii wengi sana kwa namna moja au nyingine wameonesha kwa kiasi kikubwa kuguswa na msiba wa Godzilla lakini Ali Kiba amejifanya kama hajui kinachoendelea.
Kwa anayoyafanya sitashangaa siku akifa halafu wasanii wenzake wakagoma kumzika.
Sent using Jamii Forums mobile app