Ali Kiba bado hajakoma tu, aendeleza kiburi chake.

Ali Kiba bado hajakoma tu, aendeleza kiburi chake.

Nnachofahamu Alikiba ana athari ya uislam ndani yake.. kwa elimu yangu ndogo ya kiislam.. si sahihi ku post picha za marehemu au kuongelea sana habari za marehemu.. nadhan hata msiba wa baba ake haku post picha
 
IMG_3952.JPG
 
Zilla aliwahi kusema wasanii wanasapotiana tu kwa kupost mtandaoni lakini katika maisha halisi hawapeani sapoti kabisa huenda kwa alikiba ni tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.

Sasa wasanii wenzake walimtenga ili wampe funzo ,hawakujishughulisha na chochote wala kumpa pole lakini jamaa bado funzo halijamuingia tu.

Wasanii wengi sana kwa namna moja au nyingine wameonesha kwa kiasi kikubwa kuguswa na msiba wa Godzilla lakini Ali Kiba amejifanya kama hajui kinachoendelea.

Kwa anayoyafanya sitashangaa siku akifa halafu wasanii wenzake wakagoma kumzika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Tundi Lissu aliaemaje juu ya hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.

Sasa wasanii wenzake walimtenga ili wampe funzo ,hawakujishughulisha na chochote wala kumpa pole lakini jamaa bado funzo halijamuingia tu.

Wasanii wengi sana kwa namna moja au nyingine wameonesha kwa kiasi kikubwa kuguswa na msiba wa Godzilla lakini Ali Kiba amejifanya kama hajui kinachoendelea.

Kwa anayoyafanya sitashangaa siku akifa halafu wasanii wenzake wakagoma kumzika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wakigoma kumzika yeye inamuhusu nini?Yaani unaweka bifu na marehemu ili iweje? Acheni unafiki wa kuogopa vitu vya kufikirika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom