Ali Kiba dharau zitakuponza, heshimu kitu cha bure

Acheni kushindanisha ngoma zake huenda mkaziona kali. Maana mmekalia unafiki na umbea utadhani wanawake.

Mbona kuna wasanii wanaadabu na wanaimba vizuri lakini hamna support wanazopata kutoka kwenu????

Achenu ujinga
 
Ndio maana wasanii wengine wanakua na brand manager.
 
Nyie mnaomwita king ndo mtajua cha kufanya na huyo kingi wenu
 
...mi sio shabiki wa mziki. Ila kiba sio flat za diamond. Nyimbo za kiba zishindanishwe na nyimbo za Harmonize. Na bado dogo atampita kwa speed ya mvumo wa radio. Over
 
Mvumo wa radi
 
Hii picha aliopost bdozen kwenye page yake ya insta siku mbili zilizopita na watu wakaihusisha na Diamond team wcb wakarusha maneno na kejeli kwake ila ukiiangalia kwa makini utagundua alikuwa anamaanisha nini
 
Acha upumbavu nyie ndio mnamuharibia kiba mm sio shabiki wa timu yyte lkn kweli huyo dogo apunguze makuzi waswahili wanasema kiburi si maungwana
 
Hii post naifananisha na yale maneno ya uswahilini usilinge maana hujui nani atakuzika.
Kwangu hai make sense nani atanizika as long nimeshakufa na siwaoni. By the way, mtazika tu maana hamtavumilia harufu ya mzoga. Mkishindwa, manispaa watahusika.
Muacheni Kiba aishi kama yeye, na siyo kama wengine
 
nna tabia kama hii..kiukweli tunapata tabu sana watu wa hivi kwenye jamii..huwa natamani kujichanganya na jamii but huwa nakosa ujasiri..aseeeh sometimes huwa inaniumiza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…