Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nimechagua moja mrembo kubaki kwa watoto wa town.......Nakupendaje yaani!Hongera kwa mshindi ingawa mashabiki wote Ally Kiba ni washindi....

Hahahaaaa....karibu home sweet home kwa King Kiba fans.
Ole wako nikuone kule kijijini...lol
 

Yaani geniveros una kusudi wewe hatariiiiii....umekuja kuharibu na ushajua umeshinda basi unatuchunia....hahahaaa
 
Last edited by a moderator:

Hahaaaah mpenzi siku hizi una hasira hatariiii...usijali jeshi liko kamili ila kale ka...... kanakotafuta kick tukapotezee
 

Safi sana nifah kwa msimamo wako. Unajua kiasi cha GB unazotumia kwa mwezi kwa kuperuzi na hata kudownload?
Ova
 
Last edited by a moderator:
mapenzi yana run duniaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,mwanamke akipenda kapenda kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mtaalam masoud masoud alimsifia sana huyu bwana akadai kama hela hana bas ujue hauz unga ila c kwa kuwa kaz yake haikubalik la hasha,ila wacha 2mpende mana 2metoka nae mbal sana mfano enz ya naksh nakumbuka hata dsm kuna upand ulikuwa na mapor kias kukosa simba kaz jiulize enz hyo ulikuwa wap ndo utapata jibu
 
Safi sana nifah kwa msimamo wako. Unajua kiasi cha GB unazotumia kwa mwezi kwa kuperuzi na hata kudownload?
Ova

Sijui kwa kweli...but I don't care as long as we are together
 
Last edited by a moderator:
Naona kanjibhai anakuja.......see you later Ally Kiba fans

Hahahaaaaa umeniua jamani!kumbe umeajiriwa na kanjibhai....haya tutaonana baadae kibarua kisiote nyasi tukakupoteza buuuure..
 

Jamani enzi hizo za pori wengine tulikua hatujazaliwa!!!!!hahaaaa naona mutoto mwingine wa mujini kaingia...
 

welikamu home sweet homeeee, kijana anajua tena sanaaaa, ndio maana kurudi kwake watu suruali zimewabana ati, acngekuwa tishio c wangetuliaaa, mbona akina mb dog n mr nice wanafurukutaga kurudi lkn watu hawapanik??? kurudi kiba watu wapo icu, jibu ni moja tu he is "the badest"
 
Na mpira anajua huyu jembe ucmpmie hata kdogo bnafs nimemuona uwanjan anajua plus mwil wake ulivyo kiargentina twaweza kumuita culo bajo na bueno aires waka2elewa,ila yote kwa yote r kely post yake naic itakata mziz wa fitina mana ndo muhimu kwa wote 2naomjua mix kumkubal mana 2po weng
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…