Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,056
- 1,102
duh viewers wamefikia wangapi kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechagua moja mrembo kubaki kwa watoto wa town.......Nakupendaje yaani!Hongera kwa mshindi ingawa mashabiki wote Ally Kiba ni washindi....
Kaeni mkao wa kura kwa phase 2 promo hii itakuwa unbeatable by the way Moderator nimeshawasiliana naye amethibitisha mshindi ni geniveros, naomba mlete hapa nimkabidhi zawadi yake maana Moderator anaweka usiku kuja kumtangaza rasmi lakini uzuri wote mnamjuwa mshindi sasa sioni sababu ya kusubiri kumpa zawadi yake.
Nifah,tupo pamoja,tupo hapa kumtia moyo,na kumshauri Kiba katika kila hali ili mziki wake uinuke!Umoja ni nguvu,hapana chezea nguvu ya umoja jamani,sasa na nyie mkiona kuna nzi wamevamia kuharibu mazingira tuwe tunasaidiana kufukuza hao nzi na mbung'o mie siwezi vumilia mvamizi ajipatie sifa za kijinga home kwangu!!
Hii ni kwa wale wanaodhani watu tuko hapa kwa ajili ya ile complimentary aliyotoa Matola....
Iko wazi hakuna asiyejua kua mimi ni die hard fan wa King Kiba,nitaendelea kumsapoti kwa nguvu zangu zote sio kwa sababu ya zawadi....thou nilikua naitamani hatariiii...lol
Naamini tutaendelea kua na mshikamano kama/hata zaidi ya zamani wale fans wenzangu.
Sitaki kutema big G tena kwa karanga za kuonjeshwa mrembo....Hahahaaaa....karibu home sweet home kwa King Kiba fans.
Ole wako nikuone kule kijijini...lol
sikatahi yule mwenye wivu ndie mwenye mapenzi ya kweli kwa mwenzi......
Naona kanjibhai anakuja.......see you later Ally Kiba fans
Mtaalam masoud masoud alimsifia sana huyu bwana akadai kama hela hana bas ujue hauz unga ila c kwa kuwa kaz yake haikubalik la hasha,ila wacha 2mpende mana 2metoka nae mbal sana mfano enz ya naksh nakumbuka hata dsm kuna upand ulikuwa na mapor kias kukosa simba kaz jiulize enz hyo ulikuwa wap ndo utapata jibu
Sijui kwa kweli...but I don't care as long as we are together
Mtaalam masoud masoud alimsifia sana huyu bwana akadai kama hela hana bas ujue hauz unga ila c kwa kuwa kaz yake haikubalik la hasha,ila wacha 2mpende mana 2metoka nae mbal sana mfano enz ya naksh nakumbuka hata dsm kuna upand ulikuwa na mapor kias kukosa simba kaz jiulize enz hyo ulikuwa wap ndo utapata jibu
Mdakuz,Hi!!Unatumia Airtel, Tigo, Vodacom au Zantel?
Ova
Poa sanaa!nakupa tano tuMambo wangu. Uko poa?
Ova