Sasa leo angalieni Nirvana nyie mnaosemaga Kiba anavaa moka ndio muone mitupio yake sio blah blah zenu za vijiweni
Balaa la Kiba zito. ..kila angle anagusa kwenye nyimbo zake. .ile dushelele ile dah!haikupewa heshima yake ila ni bonge la ngoma!ukiisikiliza karim unaweza ukalia jinsi Kiba anaimba kwa huzuni
Mkuu hebu nisaidie jukumu la kumpata huyu kiumbe tumfunde hapa maana huyu jamaa nilishangaa alivyoichukulia poa nyimbo ya dushelele wakati mpaka leo inabamba!!
Mwana asubuhi nina kazi ofisi moja mitaa ya kino breakfast meridian au PR karibu na mwanamboka ebu tugumiane maeneo tuweke mambo vizuri.
Kiba haitambui hadhi yake ananichosha anvyochukulia poa haya mambo wakat yeye ni level nyingine kabisaaaa!! anazubaa mno mpaka watoto wanamdharau sasa, aaaggrrrrr
Mkuu hebu nisaidie jukumu la kumpata huyu kiumbe tumfunde hapa maana huyu jamaa nilishangaa alivyoichukulia poa nyimbo ya dushelele wakati mpaka leo inabamba!!
Mwana asubuhi nina kazi ofisi moja mitaa ya kino breakfast meridian au PR karibu na mwanamboka ebu tugumiane maeneo tuweke mambo vizuri.
hiviiii!! kuvaa moka na kupaka wanja na kuvaa wigi kipi bora??
Bora kuvaa moka mana ni mambo ya fashooooni mawigi ni ya wadada mwanaume anayevaa lazima tu my doubt
'Kama hawataki wakanye Boga!'
'Kama hawataki wakanye Boga!'
Babu chinga kaenda kujikamua atoe kitu cha boga...tumngoje humu akija anachechemea msamba kashauchana
Kula likeeee!like like!
na wanja!!! wapite kuleeee
Ha ha sijamuona babu Leo kumbe eeh lazima atajibeba mwaka huuuBabu chinga kaenda kujikamua atoe kitu cha boga...tumngoje humu akija anachechemea msamba kashauchana
Huko kote ni kutafta kiki il a Ali K hafanyi mambo ya kipuuzi na bado ana shine mbaya
Umelenga kitaa kabisa mpwa. .pr tena pembeni ya mwanamboka kuna wanangu wanaosha mandinga full kuikubali hii number. .hiyo hood bab!...sipo mzizima week hii narudi Friday ila nimeanza kuchekecha namba zake kiba ili tumsanue asijichukulie kawaida kile kipaji Africa hamna!mwanetu kiba play station sana indoor tatizo
Ndio maana nashangaa sana huyu dogo sijawahi kumgumia maeneo ya wanamzizima hata kama sharibatiki hatumii basi hata kuuza nyago sometime na wana?
Siku moja nilikuwa club bills kwenye show ya Twanga nilipoingia tu chini karibu na stage tukawa tunasalimiana na mwanangu kalala Juniour, akaniomba tukae wote pale meza ya chini na kwa kawaida mimi huwa napenda kukaa upstairs, mwana huwezi amini kilichotokea pale mezani kuna watu wanawapenda wasanii wao yule jamaa aliyekuwa amekaa na Kalala Juniour hakutaka sisi kuspend hata single cent i was taking a wisky na mshikaji wangu alikuwa anapiga wine na zote mwendo wa chupa na siyo kwa toti tena kwa bei ya club, Pdg wa Kalala alicover bill mpaka last round.
Nimetoa maelezo haya ujuwe jinsi watu wanavyowaenzi wasanii wao, jamaa alifanya yote hayo baada ya kugunduwa mimi na Kalala Junior tupo karibu na yeye kama pedeshee wa Kalala akaonesha kwa vitendo kwamba Kalala ana wadau wake wanaomlipa na kumtuza kuliko Asha Baraka anavyomlipa.
Nilichoka muda wa kutunza ulipofika jamaa kumbe ina bodigadi wawili wanatulinda .
Nikirudi kwa Kiba hii tabia yake ya kuapply low profile angekuwa hana kipaji cha hali ya juu kwakweli angeshakufa kimuziki mazima na hata trip za show za mamtoni angezisikia redioni tu.
ana cha kujibebea sasa, jamani geniveros inabidi amgawiepo mwenzie hata jero tu
Hawezi kumwomba amugaie anaona aibu Leo kalikosa bando ndo mana hayupo online Ally K atawatoa pressure bure