Unaanzaje kunichukia sasa
mama 'r' na 'l' naona zinavyokupa taabu km mtu fulani, dh z ndio zimemshinda, tukisema kiba anaweza wanakataa, kiba hata lugha anaijua
Babu chinga kaenda kujikamua atoe kitu cha boga...tumngoje humu akija anachechemea msamba kashauchana
nguruwe pitaaaa... cna mkuki mieee.... nifah atamalizia maana sielewiiii, balaa naona limejileta tena
Hahahaaa unajua wakati ule nilikuwa nacomment tu ila nilikuwa na usingizi balaa na nilimboji bila hata kulog out.
lol nimerekebisha japo ninahisi nimekosea sehemu nyingi tu! Usichoke kuniambia
aiseee mmefika huku kote?dah
Mungu ni mwema another day another dollar, nimeamka na BBC morning Fans!......,
Uzi huu unapaa sana kama roketi.
Morning people!While others are making dollars,wengine wana make mabogas...uwiii!kuna wasanii wana akili mbovu sana...hutaki kanye Boga!!Respect Kiba!!
morn mama, karibu tena hapa kwa wastaarabu, Kiba moto wa kuotea mbali ww, ukijaribu kusogeza hata pua umeunguzwa
Nimeipenda hii kutoka Insta......
Nimeipenda hii kutoka Insta......
Mungu ni mwema another day another dollar, nimeamka na BBC morning Fans!......,
Morning people!While others are making dollars,wengine wana make mabogas...uwiii!kuna wasanii wana akili mbovu sana...hutaki kanye Boga!!Respect Kiba!!
Nimeipenda hii kutoka Insta......