Nipo ila sijasettle ila hua naingia kuchungulia km nifah wangu yko safe......😀
Uwiiiii hebu acha hizo habari za jana unataka waliokua hawapo wajue jamani?
Kha!muongo sana wewe....juzikati hapo nilikua unsafe mbona hukuja kuni protect?
Duh unapaa hatari!
Nimeipenda hii kutoka Insta......
naye bado ana hangover ya bando
unapotea sn mama
yaani niko busy busy kidogo nawamis kweli
karibuuu, sie wengine ndio tushachukua likizo now tunajiburudisha tuu na kiba wetu
ntannua tu pale nnaponnuaga bang hayajafika yakifika ntachukua fasta
Majukumu ndugu yangu....nakosaje raha sasa! Kila nikija nakuta uzi ushafika mbali dah!!
siachi mpaka useme
hahahaaaaaaaa!!
ukweli mtupu...!!
wamevurugwa!!
Shoga umekua mlinzi wa huu uzi....hahaaaa
Hasa jana ndio ilikua balaa,uwiiiii