Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani teamukwelinauwazi wamem ripoti akafungiwa nini?mimi sijamuona leo jamani nimekasirika hatariiii...au kaniblock nini?lakini mimi hua sicomment zaidi ya kusoma tu,eti geniveros
na wewe hayo maswali unayouliza unalipwa na nani?
kama hivi wewe unavyopoteza?
hapa sie tuko kiburudani zaidi na ninaamini mara nyingi burudani ww ndio unatakiwa ugharamike ili uipate sio ulipwe!!!
alafu ww km unaona sie hapa twapoteza muda basi ungepita kimya kimya uende hukooo wanakolipwa, utuache sie tuendelee kupoteza muda.
anyway wote sie watu wazima na akili zetu timamu so we know wht we are doing
ndo hvyo toka nione ile video nakosa raha na mahousegirl
umeeleweka mkuu
yaani Mungu tu atuepushe mbaali na hao wauaji kwakweli, ila wapo wazuri kweli sema wa kubahatisha sanaaa
Ukachukua pc/sim,ukaperuziii ukakutana na huu uzi,ukasoma maudhui na comments!Ukawaza useme nini,ukajibiwa!Baada ya muda ukajibu tena!!Sasa nawewe huoni kuwa unajiunga katika kundi la wapoteza muda badala ya kuzalisha muda!!kipendacho roho hula nyama mbichi!!Karibu home!nimepita huku nikakuta mnapoteza muda bila malipo
nimepita huku nikakuta mnapoteza muda bila malipo
Kwahiyo wewe umelipwa ngapi kupoteza muda wako hapa? Au ndio walewale Lumumba buku 7?
acha kudandia kila jambo wewe
umedandia meli ya wagiriki dadangu....tuliza mshono!
ukachukua pc/sim,ukaperuziii ukakutana na huu uzi,ukasoma maudhui na comments!ukawaza useme nini,ukajibiwa!baada ya muda ukajibu tena!!sasa nawewe huoni kuwa unajiunga katika kundi la wapoteza muda badala ya kuzalisha muda!!kipendacho roho hula nyama mbichi!!karibu home!
umedandia meli ya wagiriki dadangu....tuliza mshono!
Hahahahaa pole...Guys I am sorry...nirvana ni kesho jamani!uwiiiii Mdakuzi ataniua kwa furaha mimi hadi nasahau
Nashukuru wangu...Jamani Mdakuzi kanifanyia boooonge la surprise.....what can I say?am in tears now!
Hahahahaaa! Hamna kitu atotomnafanyana nn tena??? we Mdakuzi wewe nini wamfanya mtoto wa watu!
Kweli kabisa mkuu, usipochagua kizuri automatically unakuwa umechagua kibaya...Ndio raha ya kuchaguwa The winning Team siyo unakaa na bunch of losers.
Hahahaaa! Wala sikuruhusu...Sisemi mimi hadi Mdakuzi aniruhusu....
Hahahahaaaaa! Nimecheka sana...Unacheza na wazee wa box? Usikute ameshapewa control number asubuhi apitie western union kudraw kamzigo.
Wakati wote nampongeza kwa ubunifu wake...Hakika,shukrani zikufikie Matola kwa kuanzisha hiki kitu,ningefurahi hivi lini?
Hahahaaaa, anafanya siri?thi mthemeeee!! aaagrrr!!! mi ntalia ujue
Hahahaaa kabisa...Hahahaaaaaa ni shiiidah hii
Hahahahaaa hamna kitu mkuu...Mhm! Msije mkawa mlikuwa mnafanya yenu na Mdakuzi via Skype!! Maana raha ni tafsiri paaaana.
Duh! Hahahahaa una vituko wewe...chema weye kiadhi nkichema mie muhogo......, Mdakuzi naye bado ana hangover maana cmuoni huku
we endelea tu na raha zako hapana chezea Mdakuzi kakudakua kwelikweli, wewe hoiiiii
Niko Kino, kama upo maeneo jipiemishe tu utakutana na bwana Pepsi.
Hahahahaa pole...
Nashukuru wangu...
Hahahahaaa! Hamna kitu atoto
Kweli kabisa mkuu, usipochagua kizuri automatically unakuwa umechagua kibaya...
Hahahaaa! Wala sikuruhusu...
Hahahahaaaaa! Nimecheka sana...
Wakati wote nampongeza kwa ubunifu wake...
Hahahaaaa, anafanya siri?
Hahahaaa kabisa...
Hahahahaaa hamna kitu mkuu...
Duh! Hahahahaa una vituko wewe...
Nilikuwa napitia comments coz niliadimika sana. Basi nikawa nacheka peke yangu. Kiukweli nimefurahi sana kwa jinsi wenzangu nilivyokuwa mnanikumbuka. Ni namna familia ilivyojijenga kwa haraka na kuwa kitu kimoja.
Wakati wote nampongeza Matola kwa kuja na wazo hili ambalo limezidi kukua. Asante Kiba kwa kutukutanisha na Asante Matola kwa kujenga huu mkutano.
Ova
haya mambo ya team fulani mnalipwa nini?