sanaaaa na unaanzaje kumchukia kiba jamani!!! lazima uwe una matatizo!!! hahaaaa hilo neno "king" linawatoa watu roho jamani, mashabiki ndio tushampa hicho cheo sasa km hutaki kanywe tindikali
Hahahahaha uuuuuwi atoto u make my day wachanganye na unga wa chupa. Mtu yoyote mwenye akili&heshima hawezi kushabikia upuuzi wa huyo mburura wao ambae anajiona mjanja now wakati hata lugha ya malkia kafundishwa juzi tu tena amshukuru mama ubaya ptuuuuu.