Morning good peopleee!Another day another dollar!!Am humbled u knw!!Nimewamiss mpaka naumwa!!#bring back our Matola#....uwii sasa sijui ni kazi sijui ni familiaaa!!Sijaelewaaa...Juma Somji umetuterekeza?!
Nipo mwenzangu....napitwaje jamani!!!
Heheh safari hii mkisikia au kuona watu wanakojoa karanga ama kuharisha nyanya chungu msishangae sana!
Mgeni wetu katisheeeeeeer!! ladatho lap yu gal
King anawatakia siku njema
we are doing great
how ar uuuu
Ha ha ha ha uwiiii kweli wanaisoma kimya kimya ngumu kumesa kama klorokwini
King anawatakia siku njema
Za asubuhi wapendwa.
Morning Ms.Lincoln
Wapendwa Mpoooo?
Sory mambo ya ESCROW yanatu keep busy sana...hope leo yataisha then tutajumuika wote hapa kwa KING Ally Kiba!
Na kweli ckuwa bored nimeamin familia hii ni wakarimu sana nifah,atoto,geniveros,mdakuzi,matol...chinga wanavyotuonea wivu tunavyopendana.....
eti kunya anye nani vileeee!!! majina yote wametuita na kumuita kiba sie walaaa tukakaa kimya, wakiona haitoshi wanakuja huku kabisaaa na shombo zao tunawaangalia tu, ila ukiwagusa sasa uwiii wanapagawa km trafik aloacha sufuria ya ugali nyumbani inachemka akenda kutega apate ya mboga, akikosa sasa anatamani akamate hata aeroplane, hebu watupisheee wakapaliwe mbele ya safari
umepatia mama, stress za kuachwa mbaya jamani unaweza jikuta unasonga uji badala ya ugali alafu unajiuliza mbona hauwi mgumu km ugali?
nifah huyo ananiharibu mtoto wa watu
Jana na juzi iyo mama ya'Allah..
Nilikatiza ile kona nikakutana na vijana,
Eti wamenuna kisa mwenzao nishaoa...mmh!
Ujana maji ya moto yatawakanda msipooa
Hivi punde nitaingia shamba na nitavuna nilichopanda
Kwani dume dume la mbegu Ally mashaallah!
Nitazidi kumwomba Mola anilindie mashaallah...eeeeh!
#KIMASOMASO
Hii verse naipenda mpaka naumwaaaa!!!
Si sauti tamu ile atii, maneno yake eeewwwww....Ally Kiba fundi jamani!
Morning good peopleee!Another day another dollar!!Am humbled u knw!!Nimewamiss mpaka naumwa!!#bring back our Matola#....uwii sasa sijui ni kazi sijui ni familiaaa!!Sijaelewaaa...Juma Somji umetuterekeza?!