Ali Kiba Fans' Special Thread...

hivi nimekosea jukwa au??? mbona km sielewi!!!!
 
We acha tu kuna watu wengine wanakufuru, na lile lizee la vijisent yeye kila wizi mkubwa humkosi na mgao wake huwa haupungui 1 bilion point something.
Lile ni fisadi international!Consultancy fee 1.6 billion!du...uchawi yeye,umalaya yeye(alikua anachepuka na jirani yetu),ubabe yeye...maisha mazuri aloishi haridhiki nayo...i hate him!alisababisha hadi mchepuko wake auwawe na mkewe afu likabeba kesi....panya mkubwa huyu
 
Binafsi namkubali sana Ali k. Tatizo n kwamba anakaa muda mrefu baada ya kutoa wimbo. Kila baada ya miezi mitatu atoe wimbo mpya

sasa kama hana mashairi atatoa nini? mtu hakurupuki tu usingizini na kwenda studio ukiona kimya ujue hana mashairi
nb: msini attack that's my opinion
 

Eti nini?hapa kuna habari nzito sana...huyo mchepuko aliuawa vipi?kwa risasi au?
Wake wa waheshimiwa wachoyo jamani!mapesa yote hayo wanataka wale wenyewe???
 
We acha tu kuna watu wengine wanakufuru, na lile lizee la vijisent yeye kila wizi mkubwa humkosi na mgao wake huwa haupungui 1 bilion point something.

Yule jamaa ni kiboko bwana
 
wapi geniveros!!mlinzi wa zamu nimeingia kazin ingawa naona baraza lote limehamia siasani...jamani huko siasani mkiona joto hasira limezidi mrudi mtanikuta hapa!!tundu lissu anaongea mambo mazitooo

yaani leo ndo leo
 
management mbovu aly
ajue thamani yake

Kiukweli hapo kwenye suala la menejiment kila mtu mweny mapenz na kiba panamuumiza. Kiba baba km unasoma ushaur wa wapenz na wadau wako puliiiiiiizi tafuta menejiment nzuri tunajua we ni mkali bt tanataka uzidi kuwa mkali zaid ya hapo
 
Aaah...bado upo home tusameheane tu tunapitiwa na joto hasira!

maana nimetoka huko siasani nimevurugwa nikakutana na escrow tena humu nikaishiwa pozi, maana nilitaka nijipumzishe na stress zake humu
 
Eti nini?hapa kuna habari nzito sana...huyo mchepuko aliuawa vipi?kwa risasi au?
Wake wa waheshimiwa wachoyo jamani!mapesa yote hayo wanataka wale wenyewe???

umenifanya nicheke jamani, money money pesaaaa, kizuri kula na nduguyo
 
Karibu home long time no see!umejikaza wee ukaona bora uje kupumua na kujipa raha ya nafsi kwa kuwaongelesha masahbiki wa King!We are humbled u know kupata wageni mara kwa mara kutoka mtaa wa pili hapa ni mtakuja mummy!!

hahahahaaa uuuwi hivi huku huwa mnaongeaga nini?? manake hakuna events yoyote mpya, lakini uzi unapaa tuu mnajua mmepanic vibaya?? tshet vipi zimetoka??? au ndio TATIZO VYOTA kila kitu kinabuma, kama tshet zimeshindikana kutoa kama video ilivyoshindikana embu jaribu basi kutoa MOKA kwikwikwikwiiiii nifah huhuhuhuhuuu njoo nisupport nimewapa wazo la kutoa moka, hihihihihiii nipigie makofi heheheheee, alafu zikitoka tuu pair ya kwanza unamchukulia baba watoto, hohohohoooo atakupendaje???
 
Last edited by a moderator:
Eti nini?hapa kuna habari nzito sana...huyo mchepuko aliuawa vipi?kwa risasi au?
Wake wa waheshimiwa wachoyo jamani!mapesa yote hayo wanataka wale wenyewe???
daah!
kanjibhai kaondoka ofsini anahofu escrow yaweza kumkumba....yaan wapendwa nawaza sijui itakuaje?
please mamii niliwaze na wimbo mzuri wa Ally Kiba coz nawaza kupigaa tena jalamba na bahasha mkononi!
 

yaani mi siwapendi kweli tatizo hakuna anaewajibishwa ndo maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…