Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaaaa usinikumbushe hiyo zawadi kutoka kwa Mungu jamani nilikua nimeshasahau....

mi siwaelewi mbona daimond anadiscussiwa sana mi binafsi mara nyingi nyuzi specialy kumsifia dai huwa siingii maana staki niwaharibie pozi watu wake
asa na wao watuache hata kwa huu uzi
hatukatai dai ana mafanikio ya yake
na sie tuacheni tumshauri kiba
wao wanavyompromoti dai ina maana kibaya chajitembeza?
 

hizi ndo points sasa
 

Mbona maushauri hamtoi sasaa,,
 
kwani alivyosema amekuja kuchukua kiti chake alimpaga nani amshikie???

Tulikificha stoo ndo kikapata na vumbi.....!!! Mana ndomo alikua anakililia sana!!! Alilia na mengi,akapatwa na mawazo,akajisifu kuwa yeye ni number one ivo tumpe kiti,akalalama eti tatizo kwao mbagala,akaondoka akasema atarejea,akanambia atanihonga Pete,nikamkatalia akasema eti moyo wake umemponza,akajamdogomdogo ili akiibe,lakini alivofika akangusha madumu yake tukaskia bum bum.... Toka hapo tukastukia tukamwambia mfalme njoo tunakuletea kiti chako......... Umeelewa kwenye kiti kilikuwa?????
 
Kazi hipo mwaka huu
Naona mtifuano umeamia hadi kwenye kupakua nyimbo ili kumsikiliza Alikiba!
Wimbo mpya MwanaFA feat Alikiba -kiboko yangu
Watu wamepakua hadi website imestuck! Tuna hitaji muwashabikie wasanii na mnunue kazi zao kama namna hii!
 

Attachments

  • 1413993308989.jpg
    33 KB · Views: 143
Watanzania wengi hatujui mziki mzuri,ally k yko talented anaimba good music bt diamond anatumia nguvu kubwa sana kufika alipo,wote wanatoa good music bt kwa njia tofauti,iko wazi ally k ni mjuzi katika uimbaji,sauti nzuri,!me nawasupport wote ila ally k hatumii nguvu kubwa sana kujtangaza,sijui km anaskendo!mshaurin awekeze kwenye music ajitangaze,!DIAMOND N ALLY K NAWAKUBALI WOTE
 
Jamani,Ally K,nomer sana hakika yeye kioo cha jamii!mwanamme haswaa sio lazima mambo yake ya chumbani ayaweke hadharan!hapo tuuu nampendea!Misifa ya kijinga mara oo mara sijui nini yani hana!Hana shombo wala shobo!yani mimi penda sana yeye,atafute management na awe serious na kazi,achukulie mziki kama office atafanikiwa sana,tena asali sana,mganga wa yule domo asije akamchezea!
 

Hahahaaaa aisee una akili sana dada...
 

Watu hawaelewi unajua,hii sio team km za insta za kusapot bifu za kijinga,nadhani matola kaanzsha ili kumsapoti ally k kuzungumza yao,kujenga sio kutok blah blah km za insta,
 

Kuhusu kusali usijali shosti...kaka anasali yule hadi namuogopa...ndio maana yule anashindwa kummaliza
 
Awajali fans wake wote bila kubagua, the guy gonna shine pia atumie mapungufu ya washindani wake
 
Aiseee team Ndomo a.k.a boooh mtupishe hapa jukwaani tumshauri ndg yetu Ally K a.k.a talented artist.
Kuna thread nying za Ndomo nenden huko mkaandike.
 
Watu hawaelewi unajua,hii sio team km za insta za kusapot bifu za kijinga,nadhani matola kaanzsha ili kumsapoti ally k kuzungumza yao,kujenga sio kutok blah blah km za insta,

Swadakta....sasa hao wanaokuja kutuchefua huku ndio wanataka kuiharibu nia haswa ya muanzilishi wa huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…