Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Hahahaaaaa usinikumbushe hiyo zawadi kutoka kwa Mungu jamani nilikua nimeshasahau....
mi siwaelewi mbona daimond anadiscussiwa sana mi binafsi mara nyingi nyuzi specialy kumsifia dai huwa siingii maana staki niwaharibie pozi watu wake
asa na wao watuache hata kwa huu uzi
hatukatai dai ana mafanikio ya yake
na sie tuacheni tumshauri kiba
wao wanavyompromoti dai ina maana kibaya chajitembeza?