Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Duh sijui nianzie wapi?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona km kawaida mama mlinzi wa zamu
Duh sijui nianzie wapi?!!!
Mimi pia nakumiss sana,una akili wewe?hua nafurahi unavyokuja kupigilia misumari ya mwisho kwa haters wanaovamia humu
Muuza sura mtoto wa mjini upo wapi??
anzia hapohapo mama
Ndo nishaanza, narefresh na SIKUONI ya King Kiba.....hilo beat lake usipime aisee!
Nipo wangu suala la kumtafuta kiba linazingatiwa soon tutatoa mrejesho
Nipo wangu suala la kumtafuta kiba linazingatiwa soon tutatoa mrejesho
Ndo nishaanza, narefresh na SIKUONI ya King Kiba.....hilo beat lake usipime aisee!
guuud, hapanachezea kiba wewe
Nakutamaniaje
Ladha halisi isochakachulika wala kuchuja, music muruuuuaaaaaa usokuwa na makelele.
Ama kweli hapana chezea Kiba utapotea kama ndege ya Malaysia!!
hv kumpenda kiba ni dhambi? sasa mbona watu wanaumia sana!??
na bado
goood night dearest humble family
hv kumpenda kiba ni dhambi? sasa mbona watu wanaumia sana!??
na bado
Lol nmemsahau my dear Ms-Lincoln nae anastahili
.
Wananichekesha kweli.
Na wataumia sana na kama ni dhambi basi nitaomba niwe kuni ya kuunguzia wenzangu......kiroho safi tyuuuu!