Ali Kiba Fans' Special Thread...

Basi tusherehekee kiroho swafii furahien tu mtazivuja hizo simu jamanii

Domo hanistui hata mshipa wa faham,my phone is so precious kwa kweli!angalieni tu msichanike misamba katika kuruka ruka kwenu!
 
Karibu juice,umerudi tena!!Lazima urudi,kwa kuwa unajua Kiba ndo Kiboko ya ndomo y hukuenda kupost kwenye uzi wa bycer au Rich mavoko au Msodoki?Kiba ni mwalimu inabaki ivo,izo shobo nyingine ni kawaida sana

hivi kiba yupo wapi jamani, usingemtaja hapa unajua nilishamsahau???
 
hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaa, kukbe una nini cha kusema???? unakipatia wapi kwa mfano???

Kukbe ndo nini!!Acha kutetemeka shoga yangu tuliaa!!La kusema nnalo nani kwa mfano ananiziba mdomo hapa nyumbani!!Nasema ivi Kiba anakunyima usingizi bado ingawa mnasema kapata tuzo so Kiba afanyeje!!Ye ndo kiboko yake that's y mmekuja hapa kuringishia!!
 
Watu mioyo inawalipuka kushinda ashinde domo mambo ya ajabu mtuletee sie inahusu. Ebu mtupishe tujimwae kwa raha zetu na king wetu japo hamtaki kukubali bt ndo nshasema
 
hivi kiba yupo wapi jamani, usingemtaja hapa unajua nilishamsahau???

Umsahau wapi while anakujia ndotoni kama jinamizi!!unampenda sana kuja humu ni dhihirisho tosha!!Nw yupo kwake kapumzika,vipi unataka ukamwone!?
 
Looo!!Sio kila mtu anamtani Dai weee temea mate chini,lile domo Ladatho unataka amezwe kidevu,nyie ndio mnawaonea wivu malaya wa huyo mwafulenge!!

Baambie mama wape habari lile domo km mlango wa fast jet ntalipeleka wapi lol
 
Mwenzenu alifikisha ujumbe kwa malaya wake nyota mmekazanaaa kunukuu kama vile alimwimbia Kiba...na bado mtakesha humu!!

Hhhee alishasema kazi kuu ya moyo ni kusukuma damu kupenda viherehere vyao acha walambwee sukari ya warembo ileeee mmmhuuuu kukesha twakesha wotee hhhhhhaaaaaa kiba wapiiiiii
 
Baambie mama wape habari lile domo km mlango wa fast jet ntalipeleka wapi lol

Unaanzaje kumwonea wivu mtu kama yule jamani!!Mtu ambaye kumpata demu ni mpaka azike mbuzi!!ptuuu sio kila mtu anatumia gongo na matap tap jamani!!Mwanaume anakitembeza kama amerogwa!
 
Watu wananeng'eneka tu fujo zote hizi coz hawakuwa na uhakika wa kichukua tuzo xo imetokea tu sasa wanakuja kwa mkubwa wao kutoa heshima. Marhaba karbuni sana vibaraka wa mfalme
 
Watu wananeng'eneka tu fujo zote hizi coz hawakuwa na uhakika wa kichukua tuzo xo imetokea tu sasa wanakuja kwa mkubwa wao kutoa heshima. Marhaba karbuni sana vibaraka wa mfalme

Ni kawaida hiyo sio tuzo ya kwanza ya daimond, ,,,,siku akibeba mfalme wenu mtakunya bogaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…