Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaa, kukbe una nini cha kusema???? unakipatia wapi kwa mfano???Dai kapata tuzo,la ajabu kitu gani!!Kwani yeye ndo msanii wa kwanza duniani kupata tuzo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaa, kukbe una nini cha kusema???? unakipatia wapi kwa mfano???Dai kapata tuzo,la ajabu kitu gani!!Kwani yeye ndo msanii wa kwanza duniani kupata tuzo??
Mi ndio maana nimewaletea taarifa ili msipate taabu ya kusoma kimya kimyaaa hatuba uadui tushereheekeee tuuu
Koma wewe mi co malaya mwenzio
Basi tusherehekee kiroho swafii furahien tu mtazivuja hizo simu jamanii
Tumekuomba au kiranga.????
Mwenzenu alifikisha ujumbe kwa malaya wake nyota mmekazanaaa kunukuu kama vile alimwimbia Kiba...na bado mtakesha humu!!Hahhhhhaaaaaaa kuna X X X na kuzidishaaaaaa
Karibu juice,umerudi tena!!Lazima urudi,kwa kuwa unajua Kiba ndo Kiboko ya ndomo y hukuenda kupost kwenye uzi wa bycer au Rich mavoko au Msodoki?Kiba ni mwalimu inabaki ivo,izo shobo nyingine ni kawaida sana
Kuna X na kuzidishaaaaaaaa
hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaa, kukbe una nini cha kusema???? unakipatia wapi kwa mfano???
Wapi Atoto!!njoo ushangae mambo ya kula pilau na kwenda kujambia kwa jirani!!
hivi kiba yupo wapi jamani, usingemtaja hapa unajua nilishamsahau???
Looo!!Sio kila mtu anamtani Dai weee temea mate chini,lile domo Ladatho unataka amezwe kidevu,nyie ndio mnawaonea wivu malaya wa huyo mwafulenge!!
nimemaliza kusikiliza mak muga ili nilale mie
Umeona wa mtaa wa jirani wanavojiharishia humu!!?nimemaliza kusikiliza mak muga ili nilale mie
Mwenzenu alifikisha ujumbe kwa malaya wake nyota mmekazanaaa kunukuu kama vile alimwimbia Kiba...na bado mtakesha humu!!
Baambie mama wape habari lile domo km mlango wa fast jet ntalipeleka wapi lol
Baambie mama wape habari lile domo km mlango wa fast jet ntalipeleka wapi lol
Watu wananeng'eneka tu fujo zote hizi coz hawakuwa na uhakika wa kichukua tuzo xo imetokea tu sasa wanakuja kwa mkubwa wao kutoa heshima. Marhaba karbuni sana vibaraka wa mfalme