kuna watu wana matatizo yao binafsi na laiti wangekuwa wanajua kusoma na kuelewa yaani haya walaaa yacngetokea, walianza wenyewe sasa sisi tukimaliza wanaumia tenaa!!! hakuna wenye chuki na nyie ila mnazipandikiza kwa lazima maana ndicho mlichozoea, sasa si mtuache basiiiiii
au mwasubiri tuwape tuzo za fujo na uelewa mdogo!???
Sielewiii,kosa kubwa ni mie kumpenda Kiba!!Msinilaumu mie lawama ziende juu ya kipaji cha Kiba cha hali ya juu,kazi makini,ustaarabu na tungo zake matata,am innocent!!Naburudishwa naye sana nashindwa kujizuia hadi beib wangu anajua na yupo humu aamenipiga mpaka top kupost humu lakini sikomiii,sembuse nyie wenye ndoa zenu anawawewesesha kwa kumponda kutwaaa!!Uwii baba na mama walishindwa utaniweza wewe jini kitrorondoo!!(In congolese voice)
Mi siko hivyo ndugu yangu naheshimu mtu yoyote anae onyesha juhudi kuyasaka maendeleo ili mradi tu iwe ni kwa njia halali istoshe sisi ni vijana chuki hazijengi....nita mpongeza hata kiba siku akifikia level kama hizi...sina moyo wa wivu.
nimeona nimechoka kweli
i never expect this aisee kumbe kuna mabifu makubwa
single moja tu shhhhhhiiiiida
best ar u u...??
mis lincoln,nifah,atoto,diva,showme,ave,ladatho luv u sanaaaa na wengine wote
mis lincoln,nifah,atoto,diva,showme,ave,ladatho luv u sanaaaa na wengine wote
Binadamu ni viumbe wa ajabu sana aisee
Yaani unatumia nguvu na akili mingi sana mkuu kujaribu kuupindisha ukweli?
Huo uelewa wako walahauwezi kubadili ukweli
watupe kwenye dastibini haaoo
Mkuu hebu tusaidie picha za Party ya Birthday ya Kiba... Plz
mie nilijua ulimbukeni kwenye mambo mengine tu kumbe hadi basideii, kweli watoto wa uswahilini everything is a big deal,
Kibaaaaa ni namba moja wangu
Hahahahaaa! Nimegundua kwamba majirani zetu ni wepesi sana. Wajuacho ni kuchokoza watu ili mbaki kutukanana na msibishane kwa hoja na uelewa.
Ova
Dah! Jamaa utakuwa unanikubali sana, yaani kwa kuandika hivyo tu umeona nimetumia akili nyingi sana. Asante kwa kunikubali, lakini ukweli wala sikutumia akili nyingi, kwani wakati naandika hiyo ndo nilikuwa nimetoka kulala.
Kwa huku niliko niliiandika saa 8 usiku, after kupokea Simu ya familia na kuzungumza nayo. Huwa natumia akili nyingi kwa kazi zilizonileta huku, kwangu muziki ni burudani tu kama ilivyo soka.
Ukweli upi uliopindishwa? Kwamba maelezo yangu yamesema Nassib hakupata tuzo? Si kweli kwamba studio kuu ya Channel O iko SA? Si kweli kwamba studio kuu ya MTV Base iko Nigeria? Si kweli kwamba CHOAMVA ni Tuzo za kituo cha TV?
Kwa taarifa yako Tuzo zina sarakasi nyingi sana, unajua kama Kanye West aliwahi kupanda ghafla jukwaani na kuponda Beyonce kunyimwa Tuzo aliyokuwa akiwania na Taylor Swift? Yote hiyo ni kwa sababu ya sarakasi za Tuzo. Matola kakueleza kwamba Westside Connection walikuwa wakali watupu na walitoa nyimbo kali tupu na hawakuwahi kupata tuzo?
Ova
Hahahahaaas......uwiiiiii
Usibadili tena mpenzi tumeshakuzoea hivyohivyo kiubishi ubishi u know...
Mimi pia ni msukule mwenzio u know...
Sote ni watanzania tuheshimu wenzetu wanapo onyesha njia.
Sote ni watanzania tuheshimu wenzetu wanapo onyesha njia.