Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Umesomeka dear!ata ivo kukesha humu inahuuu!
yaani we nooma jana nlilala mapema leo toka asubuhi niko busy hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesomeka dear!ata ivo kukesha humu inahuuu!
Nilitaka kumjibu yule le fisiz,chicken head basi tu nikampotezea...eti tumeususia uzi!Mimi nifah au mwingine?ni bora nisiingie JF milele kuliko kuususia uzi wa King Kiba wangu
Za asubuhi jamani leo niko busy busy waungwana nna ugeni kidogo
hahaaaa wewe baadae kiba kwanza
Atoto una busara sana!Pokea juice ya nanasi hapo!Kiba ana ubora sana ila afanyie kazi kasoro zake zisizofichika!!wakambandikia maneno kwa picha(haaa!kicheko!),haachi mtu kitu hapaaa!
yaani hapa ndio kituo cha kwanza kabla ya siasani na mmu
yaani we nooma jana nlilala mapema leo toka asubuhi niko busy hatari
Jamani!haya sikatai mimi
sasa hii ni yako nifah Diva beyonce@ms.Lincoln@geniveros na wengine, love youuuu the family of humble u know!!! hahaaa we learned fom our king, KIBAAAAAAAA
Sote ni watanzania tuheshimu wenzetu wanapo onyesha njia.
Uwiiiii,naona zee la vigodoro limeingia jamani!loh,tunafuatiliwa hatariiii
Sasa naamini Matola alivyosema kua mtu asipoji commentisha hapa anaonekana hana bundle ni kweli,uliona mbali sana
Yani tupo wengii hujatutaja wote!!Mapendo daima!!
Yani tupo wengii hujatutaja wote!!Mapendo daima!!