Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nilitaka kumjibu yule le fisiz,chicken head basi tu nikampotezea...eti tumeususia uzi!Mimi nifah au mwingine?ni bora nisiingie JF milele kuliko kuususia uzi wa King Kiba wangu

yaani hapa ndio kituo cha kwanza kabla ya siasani na mmu
 
Last edited by a moderator:
Atoto una busara sana!Pokea juice ya nanasi hapo!Kiba ana ubora sana ila afanyie kazi kasoro zake zisizofichika!!wakambandikia maneno kwa picha(haaa!kicheko!),haachi mtu kitu hapaaa!


Kiba angekuwa no one to them ujue wangetulia, always anayekuumiza kichwa ndio unamuwaza sn, sasa mie acha nimpendeeeeeeeee
 
yaani we nooma jana nlilala mapema leo toka asubuhi niko busy hatari

pole na majukumu mwl wa ukweli, mie nikajua umewapa watu adhabu ya kuruka kichura chura maana zilirukwa hapa, sie tukawa tunawacheki tu
 
Sote ni watanzania tuheshimu wenzetu wanapo onyesha njia.
 

Attachments

  • 1417344174826.jpg
    1417344174826.jpg
    20.3 KB · Views: 47
pole na majukumu mwl wa ukweli, mie nikajua umewapa watu adhabu ya kuruka kichura chura maana zilirukwa hapa, sie tukawa tunawacheki tu

Hahahahaaa atoto umeanza sasa....
 
Last edited by a moderator:
Sote ni watanzania tuheshimu wenzetu wanapo onyesha njia.

Unataka shikamoo ndo ujue anaheshimika!!tofautishha heshima na appreciation!!Unalazimisha acknowledgement!!?Mi hapo shkamoo mama wa kulia hapo!
 
uh!!! kwani nani hajaheshimu km sio hashuo zenu ziczokuwa za mcngi ndio zinawaponza na kupandikiza chuki ambazo hazipo!!!! jueni kusoma na kuelewa(ila cwalaumu)
 
Uwiiiii,naona zee la vigodoro limeingia jamani!loh,tunafuatiliwa hatariiii
Sasa naamini Matola alivyosema kua mtu asipoji commentisha hapa anaonekana hana bundle ni kweli,uliona mbali sana
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiii,naona zee la vigodoro limeingia jamani!loh,tunafuatiliwa hatariiii
Sasa naamini Matola alivyosema kua mtu asipoji commentisha hapa anaonekana hana bundle ni kweli,uliona mbali sana

Mama Kiba anavuta hisia za watu!!Ni kama wameipata kwa ajili yake!!Kiba hatari kwa afya ya mioyo ya watu aisee!!Kiba ni mnoma!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom