Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

yaaani, hapa ndio kituo cha kwanza, sometym mpaka hata nasahau kwenda kwingine najikuta cku yangu imeishia hapa, ni love kwa kwenda mbeleeeee

Yaani mimi ndio kabisaaa,naishia hapahapa nikitoka kidogo narudi...
 
Halafu anapalamia mama zake kisa make up zinawaonesha bado vijana kumbe na kibibi bomba with 3 kids, i feel sorry kwa watoto wa Zari.

Mara mia lile jimama kuliko yule Bibi bomba alojizeesha kwa vipodozi,pombe,starehe anasa na unga!(Yes wanasema anonja onja)Hapana kwa kweli Mtanzania mwenzangu pale asirudi looo!!
 
Mara mia lile jimama kuliko yule Bibi bomba alojizeesha kwa vipodozi,pombe,starehe anasa na unga!(Yes wanasema anonja onja)Hapana kwa kweli Mtanzania mwenzangu pale asirudi looo!!

Hahahaaa unasemaje wewe? Matola anampenda wema hatariii
Shauri zako wewe mponde tu hapa mbele yake
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa unasemaje wewe? Matola anampenda wema hatariii
Shauri zako wewe mponde tu hapa mbele yake

Weee!Basi pole yakeee!!Ila bwana sio sawa kumpangia yule dogo mtu wa kumpenda mwacheni abemendwe nasikia alikataliwaga sana sana!so anakomeshea nw!
 
Last edited by a moderator:
Babu alitakaga amwopoe Diva,uwiii sijui ingekuwaje!!
 
Back
Top Bottom