Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kuna picha iliwahi kuwekwa hapa JF ya Kiba na ndomo enzi hizoooo hajatoka!uwiiiiii utadhani mtu na house boy wake,najuuta kwa nini sikui save leo ningeiweka tucheke hadi basi
Please mwenye nayo aiweke jama
Nachekaje sasa!!yani navuta picha!!mama mbaaavu zanguuu...leo nlikua naangalia video mpya yake nakwambia linacheka kama limelazimishwA mimeno mingiiii!!ah jamani Mungu kaumbaaa!!
 
Kuna picha iliwahi kuwekwa hapa JF ya Kiba na ndomo enzi hizoooo hajatoka!uwiiiiii utadhani mtu na house boy wake,najuuta kwa nini sikui save leo ningeiweka tucheke hadi basi
Please mwenye nayo aiweke jama

nenda instagram kwa mkude simba ipo mi nilikua nayo imepotea
 
Wee Kiba wewe Kiba!Kipaji chako kimetuunganisha hapa JF hadi tumejitengenezea familia yetu....hahahaaa
Hii familia naipenda siku nisipoingia JF naumwa hooooi taabani!!!

yaaani, hapa ndio kituo cha kwanza, sometym mpaka hata nasahau kwenda kwingine najikuta cku yangu imeishia hapa, ni love kwa kwenda mbeleeeee
 
Kuna picha iliwahi kuwekwa hapa JF ya Kiba na ndomo enzi hizoooo hajatoka!uwiiiiii utadhani mtu na house boy wake,najuuta kwa nini sikui save leo ningeiweka tucheke hadi basi
Please mwenye nayo aiweke jama
ali.jpg
Ilikuwa kama hii?
Ova
 
Geniveros nimekumiss mimi!Na Atoto pia(najaribu kukuchokoza kimya!)Buku nin FC!missed
 
Kwi kwi kwi kwi!Kweli tumetoka mbali sanaa!!Leo hii tunajisahaulisha kwa nyodo!!Poda na dodo zinasaidia sana!

Halafu anapalamia mama zake kisa make up zinawaonesha bado vijana kumbe na kibibi bomba with 3 kids, i feel sorry kwa watoto wa Zari.
 
Back
Top Bottom