Ayayayayaaaaaaaaa uwiiiiiii I love this guy hadi nafwa mie!
nifah njoo umuone Ms.Lincoln
yaaani, hapa ndio kituo cha kwanza, sometym mpaka hata nasahau kwenda kwingine najikuta cku yangu imeishia hapa, ni love kwa kwenda mbeleeeee
mie cku zingine ata cjui kusoma vzr ujue
Lakini nikisema nakupenda wewe unajua kusoma?
Hahaaaaah lol
Halafu anapalamia mama zake kisa make up zinawaonesha bado vijana kumbe na kibibi bomba with 3 kids, i feel sorry kwa watoto wa Zari.
Usiogope Atoto,Mdakuzi anaweza akawa kaduuuchu!Ila sorry sana kama uko occupied mkuu!!namuona tu Ms.Lincoln anavyotaka kunibemenda
Mara mia lile jimama kuliko yule Bibi bomba alojizeesha kwa vipodozi,pombe,starehe anasa na unga!(Yes wanasema anonja onja)Hapana kwa kweli Mtanzania mwenzangu pale asirudi looo!!
namuona tu Ms.Lincoln anavyotaka kunibemenda
Usiogope Atoto,Mdakuzi anaweza akawa kaduuuchu!Ila sorry sana kama uko occupied mkuu!!
Hahahaaa unasemaje wewe? Matola anampenda wema hatariii
Shauri zako wewe mponde tu hapa mbele yake
Usiogope Atoto,Mdakuzi anaweza akawa kaduuuchu!Ila sorry sana kama uko occupied mkuu!!
uwiiii!! ni mbabu huyooo
Akaah!kwani una miaka 12 mamii???
Ha ha ha!!niache nichekeee anaringa ringa!akisikia Mdakuzi kaoa atazirai!Akaah!kwani una miaka 12 mamii???
Haaaa!!umejuajeee!!(Uwiii Kiba fans loveconnect ntaileta siku! Kwikwi)