Kwa mnaopita kimya na kwenda kusimulia mtaani kwenu,acheni utoto!Nani alisema anasikiliza nyimbo za Kiba peke yake?!Aibu yenu hiyooo!!hapa hakuna lugha gongana ni kuwa amongst bongoflava artists wote to us Kiba is the best!!Sasa wewe tufatilieee wee akili ikuume!!jaman nmepitisha jicho kule,skupitisha kama week iv,page zote ni kutusimulia sie tuuu!!Ukiwa Royal family raha sana!!
Morning ladies and gentlemen!!Nimecheka sana kumbe Mdakuzi alitokea!haaa afu akajing'ata ng'ata kama mwenzie Atoto bila shaka wamezimikiana hawaa!!Diva naye anajifaragua shaurilo Matola ni hotcake wee zunguka zunguka mtaa wa jirani watajinolea nanga!!
Morning ladies and gentlemen!!Nimecheka sana kumbe Mdakuzi alitokea!haaa afu akajing'ata ng'ata kama mwenzie Atoto bila shaka wamezimikiana hawaa!!Diva naye anajifaragua shaurilo Matola ni hotcake wee zunguka zunguka mtaa wa jirani watajinolea nanga!!
Ha ha ha!yani kila tutakachoandika Atoto kinaenda kujadiliwa tena wajua sie ni ukoo wa kifalme so lazima watujadili tuu!!Nimeshangaa sana!!Nenda kaone ila!Afu kimewauma sana wanalazimisha pongezi eti!!Haya Matola wahurumie basi leo utoe Le tamkozz la pongeziii!walivo na utoto mwingi watasema tumesema Kiba hafai!
Ha ha ha!Akyananiii mkorofiii weye
wapendwa nawapenda sana
Morning ladies and gentlemen!!Nimecheka sana kumbe Mdakuzi alitokea!haaa afu akajing'ata ng'ata kama mwenzie Atoto bila shaka wamezimikiana hawaa!!Diva naye anajifaragua shaurilo Matola ni hotcake wee zunguka zunguka mtaa wa jirani watajinolea nanga!!
Nilikua nataka kukutonesha kidondaaa!!Ningejibebea Mdakuzi wala singoji kukonekitishwaa!!haaa
Ladatho nilikukosaa!!Jana nilikua 'namlov' connect Atoto ila ameringa sasa ntajilove connect mie(nifah njoo nichape).