Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kwa mnaopita kimya na kwenda kusimulia mtaani kwenu,acheni utoto!Nani alisema anasikiliza nyimbo za Kiba peke yake?!Aibu yenu hiyooo!!hapa hakuna lugha gongana ni kuwa amongst bongoflava artists wote to us Kiba is the best!!Sasa wewe tufatilieee wee akili ikuume!!jaman nmepitisha jicho kule,skupitisha kama week iv,page zote ni kutusimulia sie tuuu!!Ukiwa Royal family raha sana!!
 
Kwa mnaopita kimya na kwenda kusimulia mtaani kwenu,acheni utoto!Nani alisema anasikiliza nyimbo za Kiba peke yake?!Aibu yenu hiyooo!!hapa hakuna lugha gongana ni kuwa amongst bongoflava artists wote to us Kiba is the best!!Sasa wewe tufatilieee wee akili ikuume!!jaman nmepitisha jicho kule,skupitisha kama week iv,page zote ni kutusimulia sie tuuu!!Ukiwa Royal family raha sana!!


whaaat!! ucniambie kumbe wanachungulia alaf wanaenda kucmuliana!!! hahaaaa nilishasema kusoma ni kuelewa sasa watajiju haya ni yetu na Kiba ndio the best na hulazimishwi kuamini
 
Morning ladies and gentlemen!!Nimecheka sana kumbe Mdakuzi alitokea!haaa afu akajing'ata ng'ata kama mwenzie Atoto bila shaka wamezimikiana hawaa!!Diva naye anajifaragua shaurilo Matola ni hotcake wee zunguka zunguka mtaa wa jirani watajinolea nanga!!


hiviiiiiii kumbe kuzunguka koteee kule huku ndiko ulikotaka kufika!! c ungesema tu nikuelekeze njia rahisi? haya yupi wamtaka Mdakuzi au Matola?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha!yani kila tutakachoandika Atoto kinaenda kujadiliwa tena wajua sie ni ukoo wa kifalme so lazima watujadili tuu!!Nimeshangaa sana!!Nenda kaone ila!Afu kimewauma sana wanalazimisha pongezi eti!!Haya Matola wahurumie basi leo utoe Le tamkozz la pongeziii!walivo na utoto mwingi watasema tumesema Kiba hafai!
 
Morning ladies and gentlemen!!Nimecheka sana kumbe Mdakuzi alitokea!haaa afu akajing'ata ng'ata kama mwenzie Atoto bila shaka wamezimikiana hawaa!!Diva naye anajifaragua shaurilo Matola ni hotcake wee zunguka zunguka mtaa wa jirani watajinolea nanga!!

nifah alimtolea majicho Mdakuzi akajifaraguaaa akaondoka
 
Last edited by a moderator:
Kiba for Real!!Jamani Kiba anaweza kufundishwa kuvaa na yule mtt wa Tandale mwenye mwili usiondana na viguru vyembambaaa!Nimecheka sana!!
 
Ha ha ha!yani kila tutakachoandika Atoto kinaenda kujadiliwa tena wajua sie ni ukoo wa kifalme so lazima watujadili tuu!!Nimeshangaa sana!!Nenda kaone ila!Afu kimewauma sana wanalazimisha pongezi eti!!Haya Matola wahurumie basi leo utoe Le tamkozz la pongeziii!walivo na utoto mwingi watasema tumesema Kiba hafai!


mie huko walaaa hapahapa pananitosha, wao ndio wamesababisha yote hayo kwa upuuzi wao wa kujitoa ufahamu, cdhani km ingekuwa isue hiyo mbona jambo la kawaida tu sema wao ndio walioharibu sasa wakubali tu matokeo
 
huoni anavyojing'atang'ata! hawezi nifah katoa majicho utadhani babu chinga anaangalia video ya mwana unadhani ataongea, babu Mdakuzi shikamooo




Kizunguzungu cha nn sasa? ckiliza mwana userebuke kidogo utakaa sawa na nifah atakuwa hakudakulii majicho tena

Jamani jamani!!! Mdakuzi ni kijana mbiiichi kabisa hata meno 32 hajafikisha......lol
Mimi ndiye ninayemjua unataka hutaki unaacha tu kwani sh ngapi?
Sitaki maswali sijajiandaa hii sio press conference
 
Last edited by a moderator:
Morning ladies and gentlemen!!Nimecheka sana kumbe Mdakuzi alitokea!haaa afu akajing'ata ng'ata kama mwenzie Atoto bila shaka wamezimikiana hawaa!!Diva naye anajifaragua shaurilo Matola ni hotcake wee zunguka zunguka mtaa wa jirani watajinolea nanga!!

Hahahaaa Diva umesikia hii?wewe haya tuu
Uwiiiii jana na leo ni siku mbaya sana kwa babu chinga jamani!!!
 
Last edited by a moderator:
nifah alimtolea majicho Mdakuzi akajifaraguaaa akaondoka

Acha kuniuzia kesi wewe....Kua straight acha kujing'atang'ata
Mimi jana nimeondoka zangu mapeema kabisa nikakuachia uwanja
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom