Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #3,721
Hebu muulize maana mimi anayenisemea ndio kwanza niko na 23 zangu....
Jamani jamani!!! Mdakuzi ni kijana mbiiichi kabisa hata meno 32 hajafikisha......lol
Mimi ndiye ninayemjua unataka hutaki unaacha tu kwani sh ngapi?
Sitaki maswali sijajiandaa hii sio press conference
Hebu muulize maana mimi anayenisemea ndio kwanza niko na 23 zangu....
Acha kuniuzia kesi wewe....Kua straight acha kujing'atang'ata
Mimi jana nimeondoka zangu mapeema kabisa nikakuachia uwanja
hahahaaaaaa!!! yaani nimecheka kwa nguvuu, haya mama ckuulizi kitu maana "unamjua"
Kwa mnaopita kimya na kwenda kusimulia mtaani kwenu,acheni utoto!Nani alisema anasikiliza nyimbo za Kiba peke yake?!Aibu yenu hiyooo!!hapa hakuna lugha gongana ni kuwa amongst bongoflava artists wote to us Kiba is the best!!Sasa wewe tufatilieee wee akili ikuume!!jaman nmepitisha jicho kule,skupitisha kama week iv,page zote ni kutusimulia sie tuuu!!Ukiwa Royal family raha sana!!
kumbe katoto hivyo!! haya nipe shikamoo yangu haraka iwezekanavyo, alaaaaa
Hahahaaa ndio hivyo jamani usimuite kijana mwenzio babu!!!
mimi Mdakuzi ni babu yangu, alafu Ms.Lincoln wewe hebu uache balaa, utasababisha nifah asiniambie ilee kitu ambayo mdakuzi alimzuia kuniambia
mimi Mdakuzi ni babu yangu, alafu Ms.Lincoln wewe hebu uache balaa, utasababisha nifah asiniambie ilee kitu ambayo mdakuzi alimzuia kuniambia
Hahahaaa ndio hivyo jamani usimuite kijana mwenzio babu!!!
Akah!Mimi mkubwa mwenzio bwana,miaka ni namba tu...
Mjukuu cku zote huwa mke wa babu xo hakiaribiki kitu.Ms-lincoln njoo umsikie Atoto huku
Akuh!mfuate huko PM akuambie mwenyewe kama unataka
Hahahaaa muambie huyo!uzee mwisho mtwara kwa akina chinga huko
Hahahaaa muambie huyo!uzee mwisho mtwara kwa akina chinga huko
hahahaaaaaaa!!! nimegundua ni mdogo wangu tena sanaaa, aku chakuji-zari nani anataka!!!