Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jamani jamani!!! Mdakuzi ni kijana mbiiichi kabisa hata meno 32 hajafikisha......lol
Mimi ndiye ninayemjua unataka hutaki unaacha tu kwani sh ngapi?
Sitaki maswali sijajiandaa hii sio press conference


hahahaaaaaa!!! yaani nimecheka kwa nguvuu, haya mama ckuulizi kitu maana "unamjua"
 
Last edited by a moderator:
Acha kuniuzia kesi wewe....Kua straight acha kujing'atang'ata
Mimi jana nimeondoka zangu mapeema kabisa nikakuachia uwanja


mimi Mdakuzi ni babu yangu, alafu Ms.Lincoln wewe hebu uache balaa, utasababisha nifah asiniambie ilee kitu ambayo mdakuzi alimzuia kuniambia
 
Last edited by a moderator:

Weweeeeee ngoja niwape siri moja wapendwa ukiona mtu anakujadili jua kuna kitu umemzidi kibaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hahahaaa ndio hivyo jamani usimuite kijana mwenzio babu!!!


haya mama nimeach, bac km wewe mtoto hivyo mdakuzi nae atakuwa mtoto tu!!! uh hebu muite mnipe shikamoo zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…