Mdakuzi na mie nimekuona!!Mdakuzi ujue Le Mutuz shemeji yako kwa nifah!!Haya mbona umemkomalia sana au mambo ya wiiivu!!Kila mwenye dada hakosi shemejiiii!Cc Atoto
nimemuonaaaaaaaaaa
Hahahahaaa, miguu ya nyoka! Wakati mwingine napitiwa tu na usingizi, ila nipo sana tu!
Ova
Anauwasha moto, ulidhani nini? Lolameuwasha nn?
Hapo sasa... Hahahahaaa!
Ova
Sasa na wewe nifah ile sim yako Le Mutuz alikupa?
Hahahahahaaa! Najua, ila nilikuwa namchokoza tu ili aandike zile post zake ndefu za kujisifia. Huwa ananichekesha sana kusema kweli.
Ova
Wewe nae utokage kidogo jamani mpenzi!Mimi ni Le Super fan wa Le Mutuz u know!
Sasa le Mutuz ametoa proposal you know....hahahaaa sijakubali bado
Anauwasha moto, ulidhani nini? Lol
Ova