Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mdakuzi na mie nimekuona!!Mdakuzi ujue Le Mutuz shemeji yako kwa nifah!!Haya mbona umemkomalia sana au mambo ya wiiivu!!Kila mwenye dada hakosi shemejiiii!Cc Atoto

Hahahahahaaa! Najua, ila nilikuwa namchokoza tu ili aandike zile post zake ndefu za kujisifia. Huwa ananichekesha sana kusema kweli.
Ova
 
nifah mbona hii habari njema hujaniambia dada yako?

Wewe nae utokage kidogo jamani mpenzi!Mimi ni Le Super fan wa Le Mutuz u know!
Sasa le Mutuz ametoa proposal you know....hahahaaa sijakubali bado
 
Last edited by a moderator:
Haya hayaaaaa ngoja niondoke mie nisijeambiwa nimetumbua mijicho hadi mtu akasita kutoa Le Tamkoz u know.....
Hahahaaaa
 
Sasa na wewe nifah ile sim yako Le Mutuz alikupa?

Aliniambia nimtafute mpenzi basi tu uvivu wangu....naogopa akiniona atazimia u know....
Wabebez wakarez kama sisi sio wa kuonekana hovyohovyo u know...
Hahahaaaaa
 
Wewe nae utokage kidogo jamani mpenzi!Mimi ni Le Super fan wa Le Mutuz u know!
Sasa le Mutuz ametoa proposal you know....hahahaaa sijakubali bado


wapi huko tenaaa? jamani habari njema hii, duuu km nakuona upo juu ya ule mfua hahaaaaag!!h shemejiiiii
 
Back
Top Bottom