kauwasha wapi tenaaa? mie kumbe napitwa na mengi jamani!
Aliniambia nimtafute mpenzi basi tu uvivu wangu....naogopa akiniona atazimia u know....
Wabebez wakarez kama sisi sio wa kuonekana hovyohovyo u know...
Hahahaaaaa[/QUOT
weraaaa weraaaaaaa
Wala hupitwi hahahahaaa
Ova
wapi huko tenaaa? jamani habari njema hii, duuu km nakuona upo juu ya ule mfua hahaaaaag!!h shemejiiiii
wapi huko tenaaa? jamani habari njema hii, duuu km nakuona upo juu ya ule mfua hahaaaaag!!h shemejiiiii
Kuna siku nilikuita haukuja ndio maana sihangaiki tena na wewe...
Poleeee
Hahahaaaa kile kifua ndio kizuri u know...unatulia bila wasiwasi u know....
jamani pc ilianguka ikaharibika ctaitengeneza now natumia cmu hata coni notification dear, nisamehe bure
yaani pale unageuka bila kuanguka
Jamani pole mwaya mwenzio nishazoea simu nakua comfortable zaidi