bombei_safaya
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 311
- 286
Sihitaji tuzo kwa kulipwa vitu feki nahitaj tuzo kwa kuvutia mashabik,sitak matatizo kwa kupitia huu muzik hata nisipopata tuzo Mungu ameshanibariki.j moe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe umewahi kuona?nitakuwa nimefeli sana kama nikipita na kuishia kutazama tu maneno kama haya yenye ukweli mtupu na kuyakubali....ni kiba pekee ambaye mpaka leo ameweza kuwasahaulisha watanzania kama Davido na T.I walikuwepo kwenye tamasha la fiesta leaders (alichokifanya sina haja ya kurudia kukielezea)........ni kiba pekee ambaye anaweza akakufanya uambulie fedheha hata mitusi kama ukikaa na wajanja wenye mji wao ukaanza kumuongelea kiba vibaya
Mie mzima sana!!Tunakumiss tu,sijui Le super bebii anaendeleaje?
Sihitaji tuzo kwa kulipwa vitu feki nahitaj tuzo kwa kuvutia mashabik,sitak matatizo kwa kupitia huu muzik hata nisipopata tuzo Mungu ameshanibariki.j moe
Kwani wewe umewahi kuona?
katika Maisha yangu tangu nazaliwa sijawahi ona mwanamuziki/mfanyakazi/mtu yeyote amekaa kimya muda mrefu halafu watu wakamng'ang'ania arudi......pia sijawahi ona
mwanamuziki anatoa Audio inakaa miezi mitano na watu bado wanaitamani video yake.....pia sijawahi ona mtu mpole anakua maarufu bila kuwa na mapepe fulani......ONLY IN TANZANIA......ONLY ALI KIBA....Nimegundua watu wanampenda sana....sijawahi ona mapenzi makubwa kiasi hiki...
Sihitaji tuzo kwa kulipwa vitu feki nahitaj tuzo kwa kuvutia mashabik,sitak matatizo kwa kupitia huu muzik hata nisipopata tuzo Mungu ameshanibariki.j moe
nitakuwa nimefeli sana kama nikipita na kuishia kutazama tu maneno kama haya yenye ukweli mtupu na kuyakubali....ni kiba pekee ambaye mpaka leo ameweza kuwasahaulisha watanzania kama Davido na T.I walikuwepo kwenye tamasha la fiesta leaders (alichokifanya sina haja ya kurudia kukielezea)........ni kiba pekee ambaye anaweza akakufanya uambulie fedheha hata mitusi kama ukikaa na wajanja wenye mji wao ukaanza kumuongelea kiba vibaya
na ni ali pekee ambaye cjawai kumuita jina tofaut na alilopewa na waliomzaa kwanza huwa najickia vibaya sana mfano kumuita wacko jacko michael jackson janet atazingua nahisi hapo ndo nazid kukupenda nyota wangu ambaye aka yako umetka nayo tumboni
katika Maisha yangu tangu nazaliwa sijawahi ona mwanamuziki/mfanyakazi/mtu yeyote amekaa kimya muda mrefu halafu watu wakamng'ang'ania arudi......pia sijawahi ona
mwanamuziki anatoa Audio inakaa miezi mitano na watu bado wanaitamani video yake.....pia sijawahi ona mtu mpole anakua maarufu bila kuwa na mapepe fulani......ONLY IN TANZANIA......ONLY ALI KIBA....Nimegundua watu wanampenda sana....sijawahi ona mapenzi makubwa kiasi hiki...
Mama mambo?uko vp.....
kawaida yake kubamba, hilo la management sasaaaaaaa yaani hapo ndio penyewe
yaani wewe una kazi ya kucheka tu!!! kwani hilo ombi hujaliona?
yoooh!! "in king ally kiba voice"
Umeonaa ee!Watu wana akili zao timamu na alafu wala sio shabiki wa mfalme humu sijawahi kuwaona ata!!