Nimefanyaje tena jamani? Lol
Ova
wacha weee!!!!
Jamani jamani!Kuanzia sasa itabidi nikae kimya niwasome tu...mnanionea sana
Yaani nimecheka leo hatariiii,mtoa mada na wanakijiji wenzie wamekosa la kusema...watu wametiririka hadi nikaogopa,nimeshindwa hata kulike maana ni wengi mno!!!
Love ya all guys mliofanya kweli huko akina slim5 na wengine
Wapi huko nami nipiteko? Lol
hahahaaaa nilijua tu utaongea
Subiri nikapatafute nitakuita
mna project et!???
Heheh Le project!
Subiri nikapatafute nitakuita