Na wewe hebu acha kudeka umekataliwa na nani?
Basi usikonde kesho tunakwenda kula mishkaki ya samaki Didi's pub Masaki then tunamalizia kwenda Movie kwa Manji. I hope u can accept my offer.
Aiseee hiyo siku lazima Kiba abreack internet baada ya Kim K
We miss u jamaniiii!!jamani nawapenda wotee nawamiss sana
jamani nawapenda wotee nawamiss sana
Kwani wakitakiana kuna shida gani na nnyie takieneni kumbe hadi watu wakitakiana siku njema mnaumia majanga kweli😱😱😱:what:
Sitakiii uniongeleshee!nifah nnalia hapa kwa aibuuu!!kukataliwa na Kiba's fan ni serious kuliko kupata ebola!!
Yani achaa!!naona wale mapashkuna yakikuona wewe na Matola huwa yanatetemeka hayajiii yanabaki kuongea pembeni!Jamani hii thread itapata viewers wengi sana leo,wambea saaaasa uwiiiii PM zitawaka moto leo
Lazima, mashabiki wanaisubiri, TV's stations zinasubiri na hata mtaa wa pili wanaisubiri. Nani ataki kuona ukamilisho wa kazi bora kabisa ya Mwana? Hakuna..Sasa unadhani iyo video hata kama angeifanyia kwa mtogore jinsi inavosubiliwa lazima ibreak internet tuuu!!
Yani achaa!!naona wale mapashkuna yakikuona wewe na Matola huwa yanatetemeka hayajiii yanabaki kuongea pembeni!
This is serious u knw!tujipoze na cinderela tuuu!!haa aibu hii!
nimeona e-news kuwa kiba anatarajia kupiga mziki wa live na wasanii wengine(cwakumbuki) huko zanzibar, nafurahi ninaposikia anafanya mziki wa live maana haya macd inabidi aachane nayo sasa
Pole mwenzangu kajiegeshe kwa vibabu vya escrow upoze machungu!!
Kuna shida kwani!!!!!!
nimeona e-news kuwa kiba anatarajia kupiga mziki wa live na wasanii wengine(cwakumbuki) huko zanzibar, nafurahi ninaposikia anafanya mziki wa live maana haya macd inabidi aachane nayo sasa
Jamani hii thread itapata viewers wengi sana leo,wambea saaaasa uwiiiii PM zitawaka moto leo
jamani nawapenda wotee nawamiss sana