Poleeee!cheki na atoto yuko singe & ready for mingle
cku nyingine nakuzomea maana c unajua zomeo linavyofedhehesha
Siku nyingine ipi?the game is over....
Hahahaaaa
Foleni ya Upanga leo ijumaa imenikata stimu saa nzima natafuta kuchepuka nikitulia nitarudi hapa kuwashikisha adabu visabengo wote.
Mkuu kunawalimu wangu walifundisha kusoma na kuandika lakin Leo hii mimi nina jiwe lakin wao.bado wana diploma mkuu ..so kufundishwa it doesn't mean kwamba utakuwa downstream kwa hule alikufundisha hivi mkuu huoni kuwa diamond anamafanikia kimuziki kuliko alikiba jamaaa mbona haya mambo yako wazi hayahitaji degree tatu za lemburazzz to identify it...Hii ni kauli inaweza kutoka tu kwa mtu asiyejua Historia ya kimuziki ya Diamond, yaani Kiba anafanya muziki kushindana na mtu ambaye alitoa ruhusa arekodi wimbo wake wa kwanza? Ashindane na mtu ambaye alikuwa anasikiza kazi yake na kumwambia hapa umefanya vizuri, pia fanya hivi na hivi ili iwe nzuri zaidi au usifanye hivi utaiharibu?
Kiba anafanya muziki kwa kuwa yeye ni mwanamuziki, kwa kuwa anajua kuandika nyimbo kali na ana sauti nzuri ya kuimbia.
Ova
Huwa siendi kabisa hilo eneo, hasa JK anapokuwa TZ. Pata picha yeye anasali Upanga na mkewe anasali Kinondoni. Wanatoka Ikulu kwa wakati mmoja na wote wanaingia Upanga yenye vibarabara vyembamba. Pole sana mkuu.
Ova
Hii ni kauli inaweza kutoka tu kwa mtu asiyejua Historia ya kimuziki ya Diamond, yaani Kiba anafanya muziki kushindana na mtu ambaye alitoa ruhusa arekodi wimbo wake wa kwanza? Ashindane na mtu ambaye alikuwa anasikiza kazi yake na kumwambia hapa umefanya vizuri, pia fanya hivi na hivi ili iwe nzuri zaidi au usifanye hivi utaiharibu?
Kiba anafanya muziki kwa kuwa yeye ni mwanamuziki, kwa kuwa anajua kuandika nyimbo kali na ana sauti nzuri ya kuimbia.
Ova
hivi nifah na Ms.Lincoln mna mpango gani na mimi???? mbona mwannidalalia hivyo, we nani alikudalalia(kidding)
Learning means to secure knowledge and using it beyond the limit ....
Mkuu natofautiana na wewe hapo kwenye manafanikio kimuziki lekebisha hapoo.hata mafanikio ya wasaniii wakubwa hupimwa na kipato alichopata kulingana na mauzo ya albums. Na mikataba mbalimbali na ma company kama hatuwezi.kuona vitu hivyo ni wazi haukumbaliki ndio maana kuna tuzo.pia hivi hupima msanii anakubalika kiasi gani.... Ni hayo mkuu mfano huwezi kusema bushoke anakubalika now ...
Hahahaaa that's my girl Diva....
Unanifurahisha sana
Nitampata wapi ndio habari ya Mujini ila mwana pambana tu!
Ok tell me za kupotea?
Sasa unatakaje kijiba kitakuua unatumia nguvu nendeni mtaa wenu