Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima tuwaambie Mara talented sijui nini wamuache Kiba kimewauma sana
Essay zinachoshaa!Na bado watazika nguruwe mwaka huu
Service,utaishiwa maji bureee!
Na bado watazika nguruwe mwaka huu
Elimu ya mjinga.........
Had I ng'ombe au wamtafte nyangumi kabisa chezeiiiya kiba wewe
Sikatai Nassbu ana impact kwenye music industry bila kupepesa macho hata wewe naamini unalifaham hili, kinachombeba dogo ni projects(mademu) pia hata management yake inajua sana kucheza na media!Kwenye sembe tunajua hawa wasanii wetu hajulikani nan ni nan let stand on things that we can see hata kwa kupapasa I think tuko pamoja ...
Nakubalia na wewe kiba ni talented more than diamond ...... Free mind theory as per our agreements ...je hard working ya kiba iko wapi? ...je kujituma kwa diamond kupo wapi ? Where is creativity of kiba wapi? Ametumia his genus ability? Mim.naamini diamond ni medium talented je ?wewe unaweza kuona impact ya diamond. Kwenye music industry? free minded......tuendeleee.let keep only on fact that feelings Buku saba FC
huu ni mtaa wa wastaarabu,tunampa tuition then naye atakuja kuwa mwenzetu baada ya kujielewa!Service,utaishiwa maji bureee!
Kha!umesahau mlivyokua mnadalaliana hapa?lol...Tena wewe ndio dalali mkuu
Siku zote ni majungu kwao hawana jema this time watajibeba
Hivi jamani kama hali yenyewe ndiyo hii kabla video haijatoka watu wamechanganyikiwa hivi ikitoka je?
Balaa kubwa sana linakuja
ha ha ha ha haaaaaa!kuja kwangu mrembo au wataka nitumie plan Bhahaaaa!! mie dalali tena jamani Ms.Lincoln hebu ukuje huku uone mambo yalivyobadlika eti naitwa dalali tena yotehaya umeyataka wewe
Eti wao kwa tafsiri yao ni kwamba kumpenda Kiba ni kumchukia Diamond, kwa lugha nyingine Mdakuzi kumpenda nifah ni sawa na kumchukia Diva Beyonce!! Watu wa ajabu sana hawa.
Eti wao kwa tafsiri yao ni kwamba kumpenda Kiba ni kumchukia Diamond, kwa lugha nyingine Mdakuzi kumpenda nifah ni sawa na kumchukia Diva Beyonce!! Watu wa ajabu sana hawa.