Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaa wewe mtu mbona una vituko hivi?
Halafu msuli unamfunika hadi usoni....
Uwiiiiiii
ha ha ha aaa!
mbona wataisoma namba na hapo ndo watajua kwann supu haina ukoko.....
 
Kha!sasa wewe si utakua unasahau hata maneno ya kusema kwenye campaign?
Ngoma ya ritungu sijui
aah!nilielewa umesema uliyoniimbia?
hyo ngoma balaa tahadhari yake tu uwe na grease au kama waweza pata spea ya shingo!
 
aah!nilielewa umesema uliyoniimbia?
hyo ngoma balaa tahadhari yake tu uwe na grease au kama waweza pata spea ya shingo!

Hahahaaaa hapo kwenye grease ya shingo tu ndiko kunakonichekesha balaa...
I wish niione
 
Hahahahaaa jamani hua nawaonea huruma watu wenye hilo tatizo!!!
huku kwetu hayo makitu hakuna.....sijui ingekuwaje uwe nalo then uende kuoga mtoni???
kijiji kizima will be shocked,na hapo waweza zungurusha liboro fc kwa mabiti wote coz watakuwa wanakuja kukushagaa!ha ha ha aaaaaaaaaaaa
 
huku kwetu hayo makitu hakuna.....sijui ingekuwaje uwe nalo then uende kuoga mtoni???
kijiji kizima will be shocked,na hapo waweza zungurusha liboro fc kwa mabiti wote coz watakuwa wanakuja kukushagaa!ha ha ha aaaaaaaaaaaa

Hahahaaa hayo mambo ya tanga bwana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…