Calamity
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 856
- 47
ww mwisho wako airport?Mhhhh sijawahi hata kufika huko...may be one day yes...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ww mwisho wako airport?Mhhhh sijawahi hata kufika huko...may be one day yes...
ofcoz!
siunajua tena kazi na dawa,ukiwa pembeni na wabebiz wakareeeeeeeee mki enjoy song la "mwana"
wapendwa mida,
naenda kupata lunch then leo ni super sarturday (premier league).....love u all king Kiba fans
i wll mith uuuuu for while.....
ww mwisho wako airport?
wapendwa mida,
naenda kupata lunch then leo ni super sarturday (premier league).....love u all king Kiba fans
i wll mith uuuuu for while.....
yap!Chelsea Leo ama nini
Nilikua naangalia EATV hapa kwenye ile show ya kigoma kwenye kill music tour ambayo ndomo alikuwepo lakini mashabiki wameulizwa wanamtaka nani wote wakajibu Ally Kibaaaaaa.....
Uwiiiiii nimefurahi sana
Khaaaaa khaaaaa shida
Hatareeee ndomo akaanza kutaja majina ya ma star wa Kigoma akamuacha Kiba watu wakamwambia badooooo
Alivyomtaja tu!ayayayayayaaaaaaa
yaan we acha tu,ngoja nikapate ugal wa mtama, kichuri na bhusara pembeni........balaa lake nikienda msalani!ha ha ha ha haaaaaaaa
Ipo YouTube iyo ?
Nilikua naangalia EATV hapa kwenye ile show ya kigoma kwenye kill music tour ambayo ndomo alikuwepo lakini mashabiki wameulizwa wanamtaka nani wote wakajibu Ally Kibaaaaaa.....
Uwiiiiii nimefurahi sana
Ipo YouTube iyo ?
Nakupendea hapo tu ripota wetu, umeileta bila kuchuja. Tungepata hicho kipande mtaa wa pili wangeugua ugonjwa wa kutetemeka.
Ova
Hahahahaaaa, baby umefanya ghadi nimecheka kwa sauti... Wewe je na hizo Skype zako hadi nasinzia, au ndio mahaba niue?!Hahahaaaa...
Vipi lakini baby?Mwenzangu nimekukimbia nimechoka mie!Mambo gani unataka kunifanya kipofu?tokea saa sita hadi 12 tuna chart tu???
Hakukuwa na mwenye jibu la moja kwa moja baby wangu, ndio maana unaona nimekuwa kimya. Lakini ilifaa sana tuingize hapa usiku wa kuamkia siku ya kutoka kwake. Ili tuitazame kabla ya kesho yake kuchezwa kwenye Tv's Stations, ila dah ndo hivyo.Haya nimekumbuka Mdakuzi ulisema utaongea na jamaa zako baada ya siku 2 utatuambia kama utaweza kutuwekea video ya mwana hapa au lah....
Tupe mrejesho maana siku zimeisha tusijepata aibu hapa video inatoka hatuna wa kutuwekea hapa
Kazi na dawa.
Hahahahaaaa, baby umefanya ghadi nimecheka kwa sauti... Wewe je na hizo Skype zako hadi nasinzia, au ndio mahaba niue?!
Ova