Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

wapendwa mida,
naenda kupata lunch then leo ni super sarturday (premier league).....love u all king Kiba fans
i wll mith uuuuu for while.....
 
Nilikua naangalia EATV hapa kwenye ile show ya kigoma kwenye kill music tour ambayo ndomo alikuwepo lakini mashabiki wameulizwa wanamtaka nani wote wakajibu Ally Kibaaaaaa.....
Uwiiiiii nimefurahi sana
 
Nilikua naangalia EATV hapa kwenye ile show ya kigoma kwenye kill music tour ambayo ndomo alikuwepo lakini mashabiki wameulizwa wanamtaka nani wote wakajibu Ally Kibaaaaaa.....
Uwiiiiii nimefurahi sana

Khaaaaa khaaaaa shida
 
Nilikua naangalia EATV hapa kwenye ile show ya kigoma kwenye kill music tour ambayo ndomo alikuwepo lakini mashabiki wameulizwa wanamtaka nani wote wakajibu Ally Kibaaaaaa.....
Uwiiiiii nimefurahi sana

Nakupendea hapo tu ripota wetu, umeileta bila kuchuja. Tungepata hicho kipande mtaa wa pili wangeugua ugonjwa wa kutetemeka.
Ova
 
Nakupendea hapo tu ripota wetu, umeileta bila kuchuja. Tungepata hicho kipande mtaa wa pili wangeugua ugonjwa wa kutetemeka.
Ova

Hahahaaaa...
Vipi lakini baby?Mwenzangu nimekukimbia nimechoka mie!Mambo gani unataka kunifanya kipofu?tokea saa sita hadi 12 tuna chart tu???
 
Haya nimekumbuka Mdakuzi ulisema utaongea na jamaa zako baada ya siku 2 utatuambia kama utaweza kutuwekea video ya mwana hapa au lah....
Tupe mrejesho maana siku zimeisha tusijepata aibu hapa video inatoka hatuna wa kutuwekea hapa
Kazi na dawa.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa...
Vipi lakini baby?Mwenzangu nimekukimbia nimechoka mie!Mambo gani unataka kunifanya kipofu?tokea saa sita hadi 12 tuna chart tu???
Hahahahaaaa, baby umefanya ghadi nimecheka kwa sauti... Wewe je na hizo Skype zako hadi nasinzia, au ndio mahaba niue?!
Ova
 
Haya nimekumbuka Mdakuzi ulisema utaongea na jamaa zako baada ya siku 2 utatuambia kama utaweza kutuwekea video ya mwana hapa au lah....
Tupe mrejesho maana siku zimeisha tusijepata aibu hapa video inatoka hatuna wa kutuwekea hapa
Kazi na dawa.
Hakukuwa na mwenye jibu la moja kwa moja baby wangu, ndio maana unaona nimekuwa kimya. Lakini ilifaa sana tuingize hapa usiku wa kuamkia siku ya kutoka kwake. Ili tuitazame kabla ya kesho yake kuchezwa kwenye Tv's Stations, ila dah ndo hivyo.
Ova
 
Back
Top Bottom