Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Uwiiiiii nawe si ungeniuliza kwanza kama nilifikisha?
Mwenzio nilisahau!!! 🙄🙄
Hahahahahaaa nimecheka sana! Samahani baby wangu... Pole kwa kusahau, wajua nilikumbuka aliponisemesha tu.
Ova
 
AIRTELTANZANIA13.JPG
King Kiba & Mr. President
Ova
 
Mhhhhh... Kiba jamani?
Napenda sana kile kipande alichoimba kwenye msambinungwa...

Halafu alikiimba bila zile sauti zake za juu ambazo ndio silaha zake hadi R Kelly aliikubali, akasema ndio ianzishe ule wimbo wao waloimba pamoja.
Ova
Ova
 
Ratiba yangu inaonesha kiba anapafom UK Leo but hakuna update yeyote toka kwake na kapost picha za show kahama
.any clarification?
 
Halafu alikiimba bila zile sauti zake za juu ambazo ndio silaha zake hadi R Kelly aliikubali, akasema ndio ianzishe ule wimbo wao waloimba pamoja.
Ova
Ova

Yaani nikiusikiliza huo wimbo natamani ile party yake ifike tu...wananichangaya mi sielwiiii
Sio yuleyule....
Dah,the guy is so talented
 
Ratiba yangu inaonesha kiba anapafom UK Leo but hakuna update yeyote toka kwake na kapost picha za show kahama
.any clarification?

Huyu jamaa kazidi usiri sasa!
Mambo ya zamani anapost leo,ya leo mwezi ujao....
Aarrrgghhh 😡😡
 
Good bye my Mdakuzi, & have a wonderful night
Heaven sent : Keyshia Cole,u already know what I mean...right?
See ya tommorow my sweetheart!!!!
 
Last edited by a moderator:
Good bye my Mdakuzi, & have a wonderful night
Heaven sent : Keyshia Cole,u already know what I mean...right?
See ya tommorow my sweetheart!!!!

Thanks a lot baby! The same to U...
Ova
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom