Lazima apigwe ban....na wewe endelea tu hapa na ushabiki wako maandazi bila kujali sheria z jf...uTAPIGWA BAN
Jina lako linakustahili wewe buku saba fc
No wonder unashabikia mvivu na mwenye roho ya kwa nini
You guys should stop being mashabiki mandazi
Hilo jina wewe unalifahamu?
Uwiiiiiiiiii jamani kidogo nizimie!Nilidhani video imetoka!
Baada ya cku 5
hatukutakiii hatukutakiii
tuache na ushabiki wetu maandazi hatukutakii
hata akipigwa BAN hatukutakiiiiiiiooook
toka bibi tokaaaaaaaaaaa
nimjulie wapi mieeee....?!!!$
kkkkkkhhhhhaaaaas...!!$
pimbi km huyo hatumtakiiiiiiiiiiiiiii
Si uliniambia ni tarehe 20 jamani?
nimjulie wapi mieeee....?!!!$
kkkkkkhhhhhaaaaas...!!$
pimbi km huyo hatumtakiiiiiiiiiiiiiii
Aboukiba kanambia tar 17 sa celewi ndgu na Watu wa karbu nan mkwelu
Basi tumuamini Abdu Kiba
Co Abdu ni abuu mdogo ake wa mwisho
Hahahahahaaaa.... Unatamani sana tujali pumba unazoongea hapa? Kwa kweli hatuna muda na mtu mwenye ID's za ziada kwa ajili ya kukera watu. Ila bado nakushangaa kwa mtoto wa kiume mwenye jina la Deogratias kujitambulisha kama mtoto wa kike.Lazima apigwe ban....na wewe endelea tu hapa na ushabiki wako maandazi bila kujali sheria z jf...uTAPIGWA BAN
Hahahahahaaaa.... Unatamani sana tujali pumba unazoongea hapa? Kwa kweli hatuna muda na mtu mwenye ID's za ziada kwa ajili ya kukera watu. Ila bado nakushangaa kwa mtoto wa kiume mwenye jina la Deogratias kujitambulisha kama mtoto wa kike.
Ova
Basi ndo mjue mnabishana na jini kitorondo lilojivesha haiba ya binadamu.
Diva Beyonce alishawaambia wawe wanakuja na sura zao halisi!
Hahahaaaaa naona umemuamulia huyu chizi!
Hahahahahaaaa.... Unatamani sana tujali pumba unazoongea hapa? Kwa kweli hatuna muda na mtu mwenye ID's za ziada kwa ajili ya kukera watu. Ila bado nakushangaa kwa mtoto wa kiume mwenye jina la Deogratias kujitambulisha kama mtoto wa kike.
Ova