Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

wadau mpo?
siasa zinatufanya tuwe busy kidogo.....hope next monday tutakuwa pamoja!
Ally Kiba 4real
 
Ni shida sana mnajitekenya na kucheka wenyewe....

Mashabiki wa kibla jitafakarini upya

Kuwa shabiki mabumunda kuna gharama yake
Aisee mbona unaharibu hii thread??
kama sio shabiki wa KING Kiba unawashwa na nn?
Una hamu ya kukunwa??ngoja nije nikutembezee libolo Fc......
 
wadau mpo?
siasa zinatufanya tuwe busy kidogo.....hope next monday tutakuwa pamoja!
Ally Kiba 4real

Tupo,pole na hivi uchaguzi s/mitaa umekaribia nina wasiwasi hata Kiba akitoa video tutakukosa hapa!!!
 
Aisee mbona unaharibu hii thread??
kama sio shabiki wa KING Kiba unawashwa na nn?
Una hamu ya kukunwa??ngoja nije nikutembezee libolo Fc......

Heheheeeee
Jana hukuwepo uone madudu yake eeh?ungekasirika zaidi ya hapo.
 
Heheheeeee
Jana hukuwepo uone madudu yake eeh?ungekasirika zaidi ya hapo.
daah!
bahati mbaya sikuwepo....life BAN ingekuwa stahiki yangu!
Kaambiwa king fans wajumuike....sasa anapoleta uharo wake hapa tutamshugulikia kama mtuhumiwa wa escrow!
 
daah!
bahati mbaya sikuwepo....life BAN ingekuwa stahiki yangu!
Kaambiwa king fans wajumuike....sasa anapoleta uharo wake hapa tutamshugulikia kama mtuhumiwa wa escrow!

Jina lako linakustahili wewe buku saba fc
No wonder unashabikia mvivu na mwenye roho ya kwa nini
You guys should stop being mashabiki mandazi
 
Uwiiiiiiiiiii jamani my Mdakuzi kapigwa ban!
Why?why? O.M.G!!!!!
Please ukipita hapa fungua tu hata fekero a/c unitafute!
Siku ishaharibika Wallah!

Lazima apigwe ban....na wewe endelea tu hapa na ushabiki wako maandazi bila kujali sheria z jf...uTAPIGWA BAN
 
Sio jana tu...hata leo nipo....kweli wewe ni shida ...kucha kutwa uko humu kwa mvivu mwenzio

Sio jana tu,hata leo upo,hata sasa hivi pia upo.....
Unanisema mimi mvivu,kutwa kucha niko humu!!!
Hivi wewe mzima kweli?
 
Sio jana tu,hata leo upo,hata sasa hivi pia upo.....
Unanisema mimi mvivu,kutwa kucha niko humu!!!
Hivi wewe mzima kweli?

Acha weeeeee
Mimi sio kama wewe binti
Hapa sina zaidi ya 30 minutes tangu niingie
Jiangalie wewe uko tangu muda gani humu
 
Acha weeeeee
Mimi sio kama wewe binti
Hapa sina zaidi ya 30 minutes tangu niingie
Jiangalie wewe uko tangu muda gani humu

Mimi pia sina hata lisaa lizima tokea niingie humu.
Alafu wewe ni nani wa kunipangia muda wa kuingia humu?
Fanya yako yaliyokuleta achana na mimi.
 
Mimi pia sina hata lisaa lizima tokea niingie humu.
Alafu wewe ni nani wa kunipangia muda wa kuingia humu?
Fanya yako yaliyokuleta achana na mimi.

Sijakufata ujue sema ni wewe unajipendekeza......
Hayo ya muda ni swali ulilouliza wewe ...
Be ware mvivu wewe
 
Sijakufata ujue sema ni wewe unajipendekeza......
Hayo ya muda ni swali ulilouliza wewe ...
Be ware mvivu wewe

Najutia muda wangu nilioupoteza kubishana na mtu mwenye IQ ndogo kama wewe!
Sitaki kurudia tena kosa.
 
Sijakufata ujue sema ni wewe unajipendekeza......
Hayo ya muda ni swali ulilouliza wewe ...
Be ware mvivu wewe

hatukutakiiiii hatukutakiii
we mwenzetu mchapakazi tuacheni na uvivu wetu
we mfanyakazi sijui kimekuleta nini huku kwa wavivu sie
hatukutakiii we mchapakazi
 
Acha weeeeee
Mimi sio kama wewe binti
Hapa sina zaidi ya 30 minutes tangu niingie
Jiangalie wewe uko tangu muda gani humu

hatukutakiiiii we mwenzetu mambo safiiii
hatukutakiiiii tuache na uvivu wetuu
we mchapakazi nenda kwa unaofanana nao sie wavivu tuache tulale
sawa miss hardworker?
hatukutakiiii
 
IMG_20141212_110210.jpg


TZ NEXT OFFICIAL WEBSITE
 
Back
Top Bottom