Hahahahaaa! Hakijaharibika kitu, si ndio two become one jamani!
Ova
nimekosea ila si wote wamoja
wakuu nimewamis sana aisee....
Poa mumy,nakusubiri.Endelea kupiga na sisi tunavote,pamoja tutashinda.
Sawa babu chinga.Ila kwani huwezi kusema tumpigie kura bila kuongeza kama.......
Babe ujue nakupenda sana..
Aisee,yote haya ni kwa sababu ya Diva nini?
Hahahahaaaa kama siamini hivi?
ume eleweka nime rekebisha.
Wewe naye toka hapa usiniharibie siku.