Ali Kiba Fans' Special Thread...


Sasa cha kucheka ni kitu gani hapo?
Wamethubutu kuna wengine hata hawajawahi kujaribu kufanya show huko London,
Kwa ufupi haya ni maendeleo yameanza kwa wasanii wetu ila kwa akili fupi utaona haina maana kumbuka wasanii unao ona leo wanavuma walianza hivyo hivyo.
 
Its all about money
Kama wanalipwa walichokubaliana tatizo lako nini?
 
Huyu promoter si ndo huyu victor
TAPELI wa Birmingham. .huyu si ndo aliyemtapeli Diamond juzi kati?
 

Mbna wote wakija huko wanafanya show sebuleni kuanzia domo n wengineo hilo linajulikana
 
Prezzoo na akina Fidel Odinga,Shaffie Weru,Maina Kageni walimleta kenya James Blunt aje kuimba kwenye birthday ile nyimbo yake maarufu ya Your beautful

Itakuwa Kiba na huyo Kimani!!!!
 

Wanafanya show hawatangazii katika media? Mimi sijawahi kusikia kuna show London, labda aje diamond au shekh nyundo.
 

Thread imeenda tofauti na ulivyotarajia pole kwa roho yako mbaya kabla ya kuwasapoti unacheka mweeh na ukafungua thread ukitegemea tutakusapoti kucheka au?
 
Thread imeenda tofauti na ulivyotarajia pole kwa roho yako mbaya kabla ya kuwasapoti unacheka mweeh na ukafungua thread ukitegemea tutakusapoti kucheka au?

Bangi za ukubwani + stress za uzeeni = Winnie227
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa.....MFITINI kala kona. Alijua watu hawana akili nin?. Hii ndio JF bhana,ukizingua unapewa za uso.
 
Acha zako ningekua na namba zako ningekutumia video uone jinc Abdu alivyokimbza
Alafu ile club ni kubwa Tu acha majungu
 
Mariah Carey alishatumbuiza kwa Ghadafih tena sebuleni usiku kucha shida kujaza ukumbi au kupata mkwanja.Diamond alishapiga show Bday ya mengi washiriki kama 8 hivi teh teh teh usiseme nimekadiria?:confused2::confused2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…