Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
uh!!! sasa nijitahidi nizipate wakati ushasema ni un official song!!!! we naweee.........,
Nipo besti, u know Sitimbi mtandao unasumbua mpaka huwa nafanya kuisahau kabisa simu yangu!!
MwanaVideo naisubiri kwa hamu sana!
Tumeshawashikisha adabu Maccm bado katiba ya Chenge tunaipiga chini na mwakani tunalitumbuwa tezi dume kwisha kazi.
Pole mwaya!Naku miss miss sana u know!Ila fanya mpango video ikikaribia kutoka uhame huko kwa mda,sitaki kukukosa hapa kabisa.
Lazima niwepo besti hata line mpya nitanunua!
That's why I like you mama,promise......
Utoupata kokote kwasabbu n unofficial songs
Kuna
Kiba ft ipupa -touch me
Umo jamaa kaua kabisa
Kuna kiba ft Ay -she makes my day
Umo ndan wote wameua
Kuna kiba -I miss you
Umo king kaimba lugha ya mzngu tu
Kuna Ali kiba na Abdu
Jitahid uzipate alafu kuna hii 👉Hella daaah bonge la ujumbe umo ndan🏃🏃🏃🏃
Hua nashangaa sana kumuona kijana anayeishabikia ccm!Tena na kumdharau juu!
U know unaturusha roho meeeeeeeen!
Wengi wao ni vijana walioshindwa maisha kabla hata hawajayaanza maisha yenyewe wanadhani maisha ni rahisi kukaa kubeba mikoba ya wanasiasa na kutoa matamko ushuzi kwa ujira wa clone Smartphone za China na vijipocket money uchwara.
naona leo una kazi ya kunirusha roho tu, sawa bwana
Ikiruka iyo roho nitaidaka icanguke
Kwan umu jf autumi nyimbo eeeh
ishaanguka na haujaudaka, cjui
Lol 🙈🙈u want me to commit a perfect crime? I ll steal ur heart 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
this heart of mine, never get stolen
Si Una vyumba 4