Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nipo besti, u know Sitimbi mtandao unasumbua mpaka huwa nafanya kuisahau kabisa simu yangu!!
MwanaVideo naisubiri kwa hamu sana!

Pole mwaya!Naku miss miss sana u know!Ila fanya mpango video ikikaribia kutoka uhame huko kwa mda,sitaki kukukosa hapa kabisa.
 
Tumeshawashikisha adabu Maccm bado katiba ya Chenge tunaipiga chini na mwakani tunalitumbuwa tezi dume kwisha kazi.

Hahahahaaaaa Matola wewe?nimeya miss sana haya maneno yako hadi leo nilikua nimepanga nikuulizie kulikoni?
Maana umepotea sana.
Ma ccm lazima tuyapige chini,tena kwa kishindo!
 
Last edited by a moderator:
Utoupata kokote kwasabbu n unofficial songs
Kuna
Kiba ft ipupa -touch me
Umo jamaa kaua kabisa
Kuna kiba ft Ay -she makes my day
Umo ndan wote wameua
Kuna kiba -I miss you
Umo king kaimba lugha ya mzngu tu
Kuna Ali kiba na Abdu
Jitahid uzipate alafu kuna hii 👉Hella daaah bonge la ujumbe umo ndan🏃🏃🏃🏃

U know unaturusha roho meeeeeeeen!
 
Hua nashangaa sana kumuona kijana anayeishabikia ccm!Tena na kumdharau juu!

Wengi wao ni vijana walioshindwa maisha kabla hata hawajayaanza maisha yenyewe wanadhani maisha ni rahisi kukaa kubeba mikoba ya wanasiasa na kutoa matamko ushuzi kwa ujira wa clone Smartphone za China na vijipocket money uchwara.
 
Wengi wao ni vijana walioshindwa maisha kabla hata hawajayaanza maisha yenyewe wanadhani maisha ni rahisi kukaa kubeba mikoba ya wanasiasa na kutoa matamko ushuzi kwa ujira wa clone Smartphone za China na vijipocket money uchwara.

Kumbe???Njaa mbaya sana
 
Back
Top Bottom